Dollar to tsh exchange rate

Hapa pananichanganya sana, bado sijaweza kujua kutambua dollar moja ni sawa na shilingi ngapi ya Tz mana huwa naona watu huandika viwango mbalimbali, kifupi nahitaji kujua jinsi ya kutambua dollar kadha ni sawa tsh ngapi mfano mtu akisema nakupa dollar 250 hapo najuaje kuwa hii ni sawa na kiasi fulani cha tsh nielekezeni wakuu mana hivi vitu vinahusika kila siku.
njoo nikufundishe
 
2cfa353d9e049a364449c3848c086b96.jpg
Mkuu hapa sijui ntakua na sh ngap???




Mkwanja mrefu thana apo.,,, > 1,115,000/=
 
kwanza unatakiwa ujue kila nchi inatumia pessa yake,, isipokua nchi chache sana ambazo zinashare pessa,,,
Sasa pessa baina ya nchi na nchi zinakua na thamani tofauti.. mfano, shillingi ya tanzania sio sawa na shillingi ya kenya au dollar ya kimarekan.... Sababu zinazofanya thamani ya pessa za nchi zitofautiane ziko nyingi sana ambalo ni somo jingine/lecture nyingine lakini we jua zinatofautiana thamani.....

Utofauti wa thamani ya pessa hua unafanyiwa makadirio kila siku, ikilinganishwa na thamani ya pessa za nchi nyingine,,,
mfano,,, thamani ya dollar inafanyiwa tathmin kila siku ikilinganishwa na shillingi ya tanzania ili kujua inaimarika au kuporomoka ikilinganishwa pia na pessa zingine zotte duniani....

Mfano ukiambiwa dollar 1 ni sawa na sh. 2000 ina maana katika dollar hii moja ndani yake kuna shng 2000 za kitanzania,,, au dollar moja ina thamani ya elf 2000 ya kitanzania,,, ina maana thamani ya dollar ni mara 2000 ya thamani ya shillingi,, ukienda leo marekani una shng 2000 mfukoni kwao hii ni sawa sawa utakua na dollar moja( kutokana na pessa yao ss) .....

kwa hiyo kama ulivouliza mfano nna dollar 250 ntajuaje ina thamani gani katika shillingi???? kama nlivokwambia kila siku thamani za pessa zinathaminishwa na kulinganishwa, ina maana utaangalia je siku hiyo thamani ya dollar ikoje ukilinganisha na shillingi????

mfano siku hiyo dollar moja ni sawa na sh. 2000,,,,
if 1 ==== 2000
250 ==== x

2000 x 250 == x
500,000 ===== x

kumbe dollar 250 kwa siku hiyo itakua sawa na thamani ya 500,000 ya kitanzania......................



DUUH !!!! KASOME SIMPLE CONCEPT ZA ECONOMICS/COMMERCE/FINANCE,,,,,, taelewa vizur kwa undani zaid...............
Kaka na swali hapa kwa MFAno thamni ya dollar moja ilkuwa 2000 uka change tz shillings to dollars yani nika nunua hata dollar 100 then nikazi tunza ghafla kwa muda mfupi thmni ya dollar ika panda from 2000 to 2300 nitafanyaje hapo ili niweze pta faida maana naskia ndio mchezo wa baadhi wa wachumi kupata pesa
 
Kaka na swali hapa kwa MFAno thamni ya dollar moja ilkuwa 2000 uka change tz shillings to dollars yani nika nunua hata dollar 100 then nikazi tunza ghafla kwa muda mfupi thmni ya dollar ika panda from 2000 to 2300 nitafanyaje hapo ili niweze pta faida maana naskia ndio mchezo wa baadhi wa wachumi kupata pesa


Hiyo ni biashara official kabixa na watu wanatajirika kupitia buzness iyo,,, kamsome millionaire mmoja wa SA naitwa SANDILE SHEZI,, katajirika kupitia hii biashara akiwa na umri wa miaka 22 tyu,,,,,,,,,,,,,,,,,, Inaitwa FOREX( foreign exchange Market.)

Unaweza kuifanya kwa namna nyingi hii biashara,, mojawapo ikiwa ni Kumiliki mwenyewe maduka ya kubadilishia fedha( Bereau de Change) nadhani unazifahamu,, ama kununua na kuuza fedha kulingana na demand imelala upande wa sarafu gani bila kumiliki duka we unakua ni kubadilisha tyu kwenye mabenk na kwa hawa wat wa Bereau de change....

Mfano kwa kifupi::: kama dollar demand yake iko high it means utanunua dollar kwa kutumia shillingi,,, kadiri dollar inavyopanda ndivyo thamani ya dollar ulonunua inazidi kuongezeka thamani,,, ikifikia muda wa kutaka kuiuza dollar ulonunua it means utaiuza endapo demand yake itakua at the peak, kama sio at the peak bas itakua ishaanza kushuka lakini usisubiri ishuke chini ya thamani ya ile ulonunulia.........!!!!

kwa maana hiyo sasa faida yako wew inakuja wapi,,!??? ukiiuza dollar ulonunua mwanzo endapo demand yake iliongezeka kwa mfano ulinunua kwa:::

1 $ ====== 2000 tsh wakati wa kununua.... Na
1$ ====== 2300tsh wakati wa kuuza

It means faida yako apo wew ni 300/= kwa kila dollar moja...........!! inategmea ss ulinunua dollar ngapi apo ss............


kwa mtu anayeendesha maduka ya kubadilishia fedha faida inakuja iv... atanunua dollar kwa kias flan na ataiuza kwa kiwango flan kwa wew unaetaka kununua izo dollar au fedha nyingine yeyote,,,, ni kama mchuuzi wa nyanya sokoni anakua na bei anayonunulia mzigo na bei anayouzia ili ajihakikishie faida

Najua unaskiliza taarifa za habari haswa ITV,, mwisho hua wanasema ""hebu tuangalie bei za sarafu mbalimbali kulingana na bei ya kununua na bei ya kuuza ktka maduka mblmbl ya kubadlishia fedha""""

Unaweza kujiuliza,, hawa wenye maduka wananunua wapi? ili waje kuuza hizi sarafu???
Pindi wanapobadilisha shillingi kwenda kwenye dollar Apo wamenunua,,, na pindi wanapobadili dollar kwenda shillingi apo wameuza...,,, Na kila upande wa kubadili unakua na rate zake....!!!
Na obvious upande wa kuuzia huwa juu zaidi ya ule wa kununulia


Nadhani kwa kifupi umeelewa FOREX ni nini...!!!

kwa wale ambao wanafanya tayari hii bzness na wenye experience nayo vizuri waje kuongeza, kupunguza ama kukosoa,,,,,,,,,!!! Am nat doing thc stuffs but have theoretical knowlegde of it....
 
Back
Top Bottom