Mbwa dume
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 5,537
- 9,074
Kuna pombe fulani inaitwa Kimpumu
Hiyo ukinywa, nyuki wanaanza kukiandama kinywa chako wakidhani ni maua, kutokana harufu nzuri ile ya pombe...
Nakushauri tumia hiyo pombe mkuu unaweza ukatengeneza mzinga wa nyuki, ukajipatia asali yako.