Recent content by raylin

  1. R

    JamiiForums Tanzania Je, inawezekana Mtu kuhama taasisi?

    Wakuu hivi kuna mtua anafanya kazi Prime Minister's Office - Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities, anipe info maana kuna ndugu yangu ameomba kuhamia huko
  2. R

    JamiiForums Tanzania Dkt. Slaa naye atupia lake neno kuhusu kauli ya Dr. Nchimbi ya kuwataka Watanzania wapambane wapate Katiba Mpya

    Sasa ww uko rank ya juu unasema tupiganie katiba, ni swala la kujiuliza wakat yeye ni msomi na yupo kwenye chama ambacho hawatak hiyo katiba so tunapambana na nan 🙄
  3. R

    JamiiForums Tanzania Ndoa za waliolelewa na mama pekee, ni Shida?

    Tabia tu ya mtu, kuna jamaa alioa bint alie lelewa na baba na mama yake mzaz..... Picha linaanza bint ndio wa kwanza kumshawishi mama yake aachane na baba yake, bint hatoi mchango wowote ule wa kimawazo au ushauri aisee jamaa akanyooshoa kikono juu 🙌😀
  4. R

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwajiriwa Serikalini, nilikopa ila nimefeli malengo nahisi ninaenda kupotea

    Mtumishi wa umma ukipata check no emb usibweteke jitahid utoke huko halmashauri kwa namna yeyote ile, kuna taasisi nyingi tu wanavuta noti za kutosha sana yaan kwa mwez mtu hakos allowance more than 800K hapo bado mshahara. Tokeni kwenye TGS mtakufa njaa
  5. R

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Duh mbona ndogo sana, ni wa halmashauri eee 🙄
  6. R

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hv makato unaangalia wap mkuu
  7. R

    JamiiForums Tanzania KERO Nimefanya malipo ili niweze kubadilishiwa jina kwenye kitambulisho cha NIDA, ila nazungushwa tu

    Endelea kuvumilia na kuwakumbusha but miez ii ya mwisho wa mwaka wa serikali system hua zinazingua sana na kuchelewesha huduma
  8. R

    JamiiForums Tanzania Nataka kununua gari

    Tupe mrejesho ulichukua ipi hapo? Kamq XT ndio nataka experience yako kwenye kila kitu hasa namna ya kutunza turbo
  9. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini Toyota premio inauzwa bei juu?

    Brevis ikianza missing hhehehe ni kasheshe, yaan unakuta gari njian inazima gafla 😂😂😂
  10. R

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi wanaendesha takataka na si magari

    Luxury kama gari ipi, na umeendesha crown gani ya mwaka gan yenye old tech
  11. R

    JamiiForums Tanzania Usifanye ujinga wa kumbadilisha ‘mwanamke aliyeharibika’ ili uishi naye

    Kwan tanzania hakuna amani 🤣 nq kwann amani bila HAKI
  12. R

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    😆😆😆😆
  13. R

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

  14. R

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Muda wa kula kuku sasa
Back
Top Bottom