4gr haiwez ku battle na SH5 TURBO KWASABABU YA HORSE POWER , YA 4gr inaishia 215, wakat ej20 turbo inafika 256 nadhan, hapo huyo angekutana na 2gr au 3 gr ndo ingekua unyama
Bakwata ni chombo kilicho anzishwa na serikali, so selikali ndio inapanga lini iwe eid ili kuongeza mapata, sasa mpaka sasa watu hawana mishahara eid inaliwaje 😄
Tutafute pesa tu tusiridhike kukaa sehem moja, kwenye hiihii serikari kuna watu mnaelimu sawa mmeajiriwa sawa lakin anakuzidi mshahara. So nikupandana tu kwenda uko uko wote tule mwema ya nchi
Nilipata taasisi inayolipa vzr zaid ya ile ndio nikahama mkuu mm nilianza na bachelor 1.2M nikaona bodi ya korosho wanatoa zaid nikasepa, wanatoa zaid nikatembea
Hii gari ni kali sanaaa ukiweka rim za unyama mwingi size 17 au 18 pia hata ukiindesha aisee kako very smoooth, mm mwenyew nina mpango nivute used kwa ajir ya mizunguko ya mjini 1.5 itanitosha sana
Mzee zipo rumion kali Sanaa Sema ww umekutana na rumion ambazo hazijalembwa angalia rumion ya yule anae jiita sharo wa Mitumba sijui insta, au ya pipytida. Mchaw kwenye rumion ni tairi kubwa tu kama ilivyo kwa impreza au 1serie BMW
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.