Recent content by raylin

  1. R

    JamiiForums Tanzania Je, kwa Shilingi Milioni 30 taslimu ukiwa una Uwanja ukikomaa huwezi Kujenga nyumba yako ndogo tu nzuri ya vyumba vitatu na iliyokamilika kila kitu?

    Una milion 30 unaogopa kujenga😂, sema tu ukweli wewe hiyo pesa huna bwana 😂 😂 😂 😂
  2. R

    JamiiForums Tanzania Subaru Forester XT Model For Sale

    Fanya hvyo mkuu maana nataka kujilipua
  3. R

    JamiiForums Tanzania Subaru Forester XT Model For Sale

    Tuletee uzi sasa kama ule wa rumion 😃
  4. R

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Sasa tamisemi ukiachana na basic salary ya tgs na tgts kuna nn kingine? Utajilinganisha na mtu anayepata meal allowance na risk allowance? Hapo bado hajasafiri
  5. R

    JamiiForums Tanzania Nimejifunza pakubwa kuhusu elimu ya fedha baada ya jamaa yangu kuchukua mkopo wa Milioni 10 kazini kwake ili anunue gari

    Watu waongo jamani, haya miez 72 akatwe laki 3, umeina wap? Hapo riba ya nusu iko wapi? Aisee acheni wivu na maendeleo ya watu, ww umekopa kujenga nyumba usilete majungu kwenye gari za watu. Kila mtu ana malengo yake. Unaanza kuleta habari za kimbea mbea aisee😂😂😂😂 haya hiyi apo calculator ya...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Labda tamisemi😂, alaf wengine wanakopa kufucha tu baadh ya mambo ya kuhijiana mwanaharam apite. Kuna watumishi waumma ambao anaingiza allowance na pesa za safar kwa mwezi more than 6M. Kunabaadh ya taasisi mtumishi ana gari la 80M sio kama kashindwa kununua cash hapana ila...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Naomba kupata kampuni isiyo ya ubabaifu ya wauzaji wa Magari USED wanaoruhusu kulipia kidogo kidogo

    Mchek harid magari dodoma mchek insta utampata yuko poa sana
  8. R

    JamiiForums Tanzania Mbona uzalishaji umeme wa Julius Nyerere hatuoni umuhimu wake?

    Kuna wilaya moja hv inaitwa tunduru aisee ile wilaya umeme unasumbua kinoma, haipiti siku umeme haujakatika hata zaid ya mara 5 kwasiki
  9. R

    JamiiForums Tanzania HOJA Tuliovaa Jeans, T-shirt, raba tumezuiwa kufanya usaili katika ajira ya TRC, hii ni sawa?

    Maelekezo ya mavazi na namna ya kuvaa kwenye usahili hua wanatoa kila mara wala siwatetei but next time unavyoenda kwenye usahili em jarib kuuliza au kutembelea page ya sekretariet utaona kila kitu kinacho hitajika
  10. R

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Dah mungu afanye wepes aisee
  11. R

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Mkuu hv kibali wanatuma kwa ess au kwenye taasisi husika
  12. R

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Mtumishi wa Umma, nilikopa 20m, nimejenga, kulipa imekuwa mtihani, sijui cha kufanya, nisaidieni

    Yaan ukope 20M then deductible amount iwe 200k plus we jamaa fanya hesabu vzr, au ingia ess itakuonyesha, mm kwangu inonyesha kwa miaka 12 makato ni 360123/= na kumbuka kadiri muda unavyokua unapungua ndivyo makato yanakua makubwa zaid
  13. R

    JamiiForums Tanzania Ulaji wa mafuta Toyota Premio

    Hapo ni sawa na 7km/l ni sawa na crown 4 gr 😂, unatumia spark plug gan hizo unazoziita original code zake ni zipi?!
  14. R

    JamiiForums Tanzania Ulaji wa mafuta Toyota Premio

    Ulitaka utembelee siku ngap ? 😂
  15. R

    JamiiForums Tanzania Je, inawezekana Mtu kuhama taasisi?

    Wakuu hivi kuna mtua anafanya kazi Prime Minister's Office - Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities, anipe info maana kuna ndugu yangu ameomba kuhamia huko
Back
Top Bottom