Wakuu hivi kuna mtua anafanya kazi Prime Minister's Office - Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities, anipe info maana kuna ndugu yangu ameomba kuhamia huko
Sasa ww uko rank ya juu unasema tupiganie katiba, ni swala la kujiuliza wakat yeye ni msomi na yupo kwenye chama ambacho hawatak hiyo katiba so tunapambana na nan 🙄
Tabia tu ya mtu, kuna jamaa alioa bint alie lelewa na baba na mama yake mzaz..... Picha linaanza bint ndio wa kwanza kumshawishi mama yake aachane na baba yake, bint hatoi mchango wowote ule wa kimawazo au ushauri aisee jamaa akanyooshoa kikono juu 🙌😀
Mtumishi wa umma ukipata check no emb usibweteke jitahid utoke huko halmashauri kwa namna yeyote ile, kuna taasisi nyingi tu wanavuta noti za kutosha sana yaan kwa mwez mtu hakos allowance more than 800K hapo bado mshahara. Tokeni kwenye TGS mtakufa njaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.