Bakwata ni chombo kilicho anzishwa na serikali, so selikali ndio inapanga lini iwe eid ili kuongeza mapata, sasa mpaka sasa watu hawana mishahara eid inaliwaje 😄
Tutafute pesa tu tusiridhike kukaa sehem moja, kwenye hiihii serikari kuna watu mnaelimu sawa mmeajiriwa sawa lakin anakuzidi mshahara. So nikupandana tu kwenda uko uko wote tule mwema ya nchi
Nilipata taasisi inayolipa vzr zaid ya ile ndio nikahama mkuu mm nilianza na bachelor 1.2M nikaona bodi ya korosho wanatoa zaid nikasepa, wanatoa zaid nikatembea
Hii gari ni kali sanaaa ukiweka rim za unyama mwingi size 17 au 18 pia hata ukiindesha aisee kako very smoooth, mm mwenyew nina mpango nivute used kwa ajir ya mizunguko ya mjini 1.5 itanitosha sana
Mzee zipo rumion kali Sanaa Sema ww umekutana na rumion ambazo hazijalembwa angalia rumion ya yule anae jiita sharo wa Mitumba sijui insta, au ya pipytida. Mchaw kwenye rumion ni tairi kubwa tu kama ilivyo kwa impreza au 1serie BMW
Exterior iko poa, rumion inakua mbaya kama utaiacha na rim za karai size 15 , lakin ukitaka ionekane unyama weka size 17 au 18 hasa zile rim za kutoka nje oyaaa gari inakua kali kinyaaaama, kama hyo nyeupe alie ipost mtoa maada
Hapo Naipa marks rumion, kwasababu kadhaa. Cvt, inamatumiz mazur sana ya mfuta, body ni kubwa Yaan space ya kutosha, mziki hii gari ina speakers 4, twits zipo 4 na base 1 Yaan kwenye suala la mziki huitaj kuongeza speakers ya ziada, kuhusu ground clearance unaweza funga rim size 17 au 16 gari...
Kuna watu waongo humu mm nina sj5 budget yangu ya wese kwenda na kurud job laki 250k Yaan fulltank ni around 180k ambayo natumia wiki 3 hayo mengine naongezea baada ya hyo fulltank kuisha. Then Sio kila siku ww kuburuza gari tu kila sehem ww na gari tu hapo lazima ikukamue, pia kama umbali wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.