Recent content by raylin

  1. R

    Serikali Ndio Imetuharibia,Laiti kama Wangewanunulia Waislamu Datubini ya Kutaza Mwezi Kesho Ijumaa Ingekuwa Eid El Fitr

    Bakwata ni chombo kilicho anzishwa na serikali, so selikali ndio inapanga lini iwe eid ili kuongeza mapata, sasa mpaka sasa watu hawana mishahara eid inaliwaje 😄
  2. R

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Tutafute pesa tu tusiridhike kukaa sehem moja, kwenye hiihii serikari kuna watu mnaelimu sawa mmeajiriwa sawa lakin anakuzidi mshahara. So nikupandana tu kwenda uko uko wote tule mwema ya nchi
  3. R

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Nilipata taasisi inayolipa vzr zaid ya ile ndio nikahama mkuu mm nilianza na bachelor 1.2M nikaona bodi ya korosho wanatoa zaid nikasepa, wanatoa zaid nikatembea
  4. R

    Ist new model, Raum, Spacio, Rumion, Run X, unachukua ipi kwa mizunguko ya town na nje ya mji kidogo ?

    Hii gari ni kali sanaaa ukiweka rim za unyama mwingi size 17 au 18 pia hata ukiindesha aisee kako very smoooth, mm mwenyew nina mpango nivute used kwa ajir ya mizunguko ya mjini 1.5 itanitosha sana
  5. R

    Ist new model, Raum, Spacio, Rumion, Run X, unachukua ipi kwa mizunguko ya town na nje ya mji kidogo ?

    Mzee zipo rumion kali Sanaa Sema ww umekutana na rumion ambazo hazijalembwa angalia rumion ya yule anae jiita sharo wa Mitumba sijui insta, au ya pipytida. Mchaw kwenye rumion ni tairi kubwa tu kama ilivyo kwa impreza au 1serie BMW
  6. R

    Ist new model, Raum, Spacio, Rumion, Run X, unachukua ipi kwa mizunguko ya town na nje ya mji kidogo ?

    Pia gari raum iko kizaman sana, rumion iko kisasa zaid hasa yenye valmatic, EBD, Emebolize and etc
  7. R

    Ist new model, Raum, Spacio, Rumion, Run X, unachukua ipi kwa mizunguko ya town na nje ya mji kidogo ?

    Premio budget kubwa sana na demand ni kubwa so umepanda bei kizembe sana bila sababu
  8. R

    Ist new model, Raum, Spacio, Rumion, Run X, unachukua ipi kwa mizunguko ya town na nje ya mji kidogo ?

    Exterior iko poa, rumion inakua mbaya kama utaiacha na rim za karai size 15 , lakin ukitaka ionekane unyama weka size 17 au 18 hasa zile rim za kutoka nje oyaaa gari inakua kali kinyaaaama, kama hyo nyeupe alie ipost mtoa maada
  9. R

    Ist new model, Raum, Spacio, Rumion, Run X, unachukua ipi kwa mizunguko ya town na nje ya mji kidogo ?

    Hapo Naipa marks rumion, kwasababu kadhaa. Cvt, inamatumiz mazur sana ya mfuta, body ni kubwa Yaan space ya kutosha, mziki hii gari ina speakers 4, twits zipo 4 na base 1 Yaan kwenye suala la mziki huitaj kuongeza speakers ya ziada, kuhusu ground clearance unaweza funga rim size 17 au 16 gari...
  10. R

    Wenye hela wananishangaza. Maajabu hayaishi duniani

    Usinunue kilauni jini 😬, nilitamani nimzabe vibao vya uso
  11. R

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    hahaha sikua na njaa kwasabab taasisi yenyewe ni kubwa na activities zilikua za kutosha so posho zilikua zinaendesha life
  12. R

    Kwa bajeti ya milioni 20 gari ipi itafaa kwa bajeti ya mafuta ya laki 2 kwa mwezi kwa mizunguko ya mjini na isiwe ya kwenda sana gereji

    Kuna watu waongo humu mm nina sj5 budget yangu ya wese kwenda na kurud job laki 250k Yaan fulltank ni around 180k ambayo natumia wiki 3 hayo mengine naongezea baada ya hyo fulltank kuisha. Then Sio kila siku ww kuburuza gari tu kila sehem ww na gari tu hapo lazima ikukamue, pia kama umbali wa...
Back
Top Bottom