Recent content by raylin

  1. R

    JamiiForums Tanzania Ushauri kuhusu Nissan Dualis

    Ni gari nzuri, mafuta inanusa, zungatia service kwa wakati hasa cvt na avoid aggressive driving
  2. R

    JamiiForums Tanzania Battle: Subaru forester SH5 turbocharged Vs mark X

    Sawa mkuu, unyama unaonekana sema tunataka experience kabisa wa user kwanye kila nyanja
  3. R

    JamiiForums Tanzania Battle: Subaru forester SH5 turbocharged Vs mark X

    Boss kuna uzi niliona unasema utakuja na uzi wa subaru xt, kutoa ushuhuda.... Vp ulighairisha 😀 wengi tunausubir ujue
  4. R

    JamiiForums Tanzania Battle: Subaru forester SH5 turbocharged Vs mark X

    Yah ni kwel na wameweka power ya kutosha sana, ila hiz 4gr hazitoboi kwa ej20 turbo
  5. R

    JamiiForums Tanzania Battle: Subaru forester SH5 turbocharged Vs mark X

    4gr haiwez ku battle na SH5 TURBO KWASABABU YA HORSE POWER , YA 4gr inaishia 215, wakat ej20 turbo inafika 256 nadhan, hapo huyo angekutana na 2gr au 3 gr ndo ingekua unyama
  6. R

    JamiiForums Tanzania Nissan Dualis, ni namna gani ya kuweka tahadhari za kuizuia isiwake moto

    Unatumia cvt fluid gan na wanauzaje? Vp ulaji wake wa mafuta
  7. R

    JamiiForums Tanzania Nissan Dualis, ni namna gani ya kuweka tahadhari za kuizuia isiwake moto

    Mkuu vpkwenye upande wa gearbox haijakuzingua muda wote huo?
  8. R

    JamiiForums Tanzania Serikali Ndio Imetuharibia,Laiti kama Wangewanunulia Waislamu Datubini ya Kutaza Mwezi Kesho Ijumaa Ingekuwa Eid El Fitr

    Bakwata ni chombo kilicho anzishwa na serikali, so selikali ndio inapanga lini iwe eid ili kuongeza mapata, sasa mpaka sasa watu hawana mishahara eid inaliwaje 😄
  9. R

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Tutafute pesa tu tusiridhike kukaa sehem moja, kwenye hiihii serikari kuna watu mnaelimu sawa mmeajiriwa sawa lakin anakuzidi mshahara. So nikupandana tu kwenda uko uko wote tule mwema ya nchi
  10. R

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Nilipata taasisi inayolipa vzr zaid ya ile ndio nikahama mkuu mm nilianza na bachelor 1.2M nikaona bodi ya korosho wanatoa zaid nikasepa, wanatoa zaid nikatembea
  11. R

    JamiiForums Tanzania Ist new model, Raum, Spacio, Rumion, Run X, unachukua ipi kwa mizunguko ya town na nje ya mji kidogo ?

    Hii gari ni kali sanaaa ukiweka rim za unyama mwingi size 17 au 18 pia hata ukiindesha aisee kako very smoooth, mm mwenyew nina mpango nivute used kwa ajir ya mizunguko ya mjini 1.5 itanitosha sana
  12. R

    JamiiForums Tanzania Ist new model, Raum, Spacio, Rumion, Run X, unachukua ipi kwa mizunguko ya town na nje ya mji kidogo ?

    Mzee zipo rumion kali Sanaa Sema ww umekutana na rumion ambazo hazijalembwa angalia rumion ya yule anae jiita sharo wa Mitumba sijui insta, au ya pipytida. Mchaw kwenye rumion ni tairi kubwa tu kama ilivyo kwa impreza au 1serie BMW
  13. R

    JamiiForums Tanzania Ist new model, Raum, Spacio, Rumion, Run X, unachukua ipi kwa mizunguko ya town na nje ya mji kidogo ?

    Pia gari raum iko kizaman sana, rumion iko kisasa zaid hasa yenye valmatic, EBD, Emebolize and etc
  14. R

    JamiiForums Tanzania Ist new model, Raum, Spacio, Rumion, Run X, unachukua ipi kwa mizunguko ya town na nje ya mji kidogo ?

    Premio budget kubwa sana na demand ni kubwa so umepanda bei kizembe sana bila sababu
Back
Top Bottom