Sasa tamisemi ukiachana na basic salary ya tgs na tgts kuna nn kingine? Utajilinganisha na mtu anayepata meal allowance na risk allowance? Hapo bado hajasafiri
Watu waongo jamani, haya miez 72 akatwe laki 3, umeina wap? Hapo riba ya nusu iko wapi? Aisee acheni wivu na maendeleo ya watu, ww umekopa kujenga nyumba usilete majungu kwenye gari za watu. Kila mtu ana malengo yake. Unaanza kuleta habari za kimbea mbea aisee😂😂😂😂 haya hiyi apo calculator ya...
Labda tamisemi😂, alaf wengine wanakopa kufucha tu baadh ya mambo ya kuhijiana mwanaharam apite. Kuna watumishi waumma ambao anaingiza allowance na pesa za safar kwa mwezi more than 6M. Kunabaadh ya taasisi mtumishi ana gari la 80M sio kama kashindwa kununua cash hapana ila...
Maelekezo ya mavazi na namna ya kuvaa kwenye usahili hua wanatoa kila mara wala siwatetei but next time unavyoenda kwenye usahili em jarib kuuliza au kutembelea page ya sekretariet utaona kila kitu kinacho hitajika
Yaan ukope 20M then deductible amount iwe 200k plus we jamaa fanya hesabu vzr, au ingia ess itakuonyesha, mm kwangu inonyesha kwa miaka 12 makato ni 360123/= na kumbuka kadiri muda unavyokua unapungua ndivyo makato yanakua makubwa zaid
Wakuu hivi kuna mtua anafanya kazi Prime Minister's Office - Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities, anipe info maana kuna ndugu yangu ameomba kuhamia huko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.