Je, inawezekana Mtu kuhama taasisi?

Je, inawezekana Mtu kuhama taasisi?

Sasa kaka kwanini uhame taasisi nzuri kama hiyo aisee kwa ninavyojua mimi watu wanaotamani kuhama ni waalimu hizi taasisi zingine labda kupandishwa madaraja na majukumu tu mfano kana ulikuwa mhasibu wa wilaya unapelekwa TRA headquarter
Siko huko mkuu nilitoa mfano
 
TPA hamtumii ESS? Au kijana hajapata hata ajira anawaza kubadili taasisi.
 
Wakuu hivi kuna mtua anafanya kazi Prime Minister's Office - Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities, anipe info maana kuna ndugu yangu ameomba kuhamia huko
 
Back
Top Bottom