kiukweli kwa mtu yoyote msomi au mtu yoyote ambae yupo mtaani yawezekana akawa anajua hili?? kwangu mimi naona Elimu yetu TZ haimuandai kijana kuja kutegemea taaluma yake kumkuzia kipato bila kuajiliwa na asasi yoyote so life is about how u use ur mind just cheki mtu ana PHd ya business may be...
pamoja kaka tutakutafuta maana mepitia published books na kutembelea maeneo baadhi kikubwa si vibaya ukatoe elimu kidogo ili kila mtu awe na mwanga ni hayo tu mkuu
Daah pole kwa usumbufu ulioupata ila jua hii ni organization b4 huja release kwa public ilibidi uone surervisor whose dealing with kwa tulio mikoani airtel ipo pouwa sana do investivation to other users am raykidd
hello wadau hii tuafanye na tupeane ushauri amabao kila mmoja ataelewa usifikiria ku benefit financial just tu share ya ujuzi miiii sana nipo kwenye matter bout PC
real frm what u say let move away frm concentrate on de problem nw let check on de solution @ mi naona just ni kuanzisha union na kufanya vitu vinavyoonekana katika jamii hata kuwa granted inakuwa easy
ni fursa kubwa na adhim ambayo bodi ya mikopo wameitoa kwa vijana wote wanaendelea na masomo kwa ngazi ya degree tarehe ya mwisho ilikuwa ni sept 4 lakini wamee extend time mpaka tarehe 11 sept kweeli wamesaidia wengi maaana uhakiki wa vyeti umiza kichwa yaaani @ for more info peruziii kwa...
asante mama yetu kwa kulijua maana lilikuwa kimya kiasi cha kutaka kusahaulika maisha tunayoishi anajua mola tumeunga ndo tupo hapa mwaka wa kwanza umeisha hatujui hatujui hatima yetu kuendelea mwaka wa pili wengi wetuuu asanteeeeeee
tatizo ni la waandaaji sababu wenzetu from abroad wanazingatia sana kitu kinachoitwa mdaa we angalia toka mwanzo system ya kuita msanii ili aperfom utafikiri walikuwa wanafanya suprise sema uzuri kibba hata angepiga nyimbo moja nusu mkwanja upo palepale wengine hata single coin tukibishana...
kwa kuwa sisi wengine bado hatuja engage katika biashara hiyo ila tuna elimu ya bussiness, before u decided to establish any kind of bussiness vitu ulivyo hapo taja juu kama maswali ni muhimu kujua ila kikubwa hapo ni kujenga friendship na watu wenye maduka ya simu hapo eneo unalotaka kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.