tafuata umri wa mwenzi wako kwa formula hii:
y = x/2+7
Note: y - mwanaume
x - mwanamke
kama wewe ni mwanamke make x the subject.
Hata Adam alikuwa mkubwa kuliko Hawa. Najua utabisha lakini according to Biblia siku moja kwa Mungu ni sawa na miaka 1000.....
Hayo ni ya kweli, sasa hivi una shahada ya chuoni na sasa ni unaanza kutafuta shahada ya duniani.
Zile idea za kilipwa laki saba, milioni unaanza ku-prove kwamba ni kweli au lah!
Kama unaweza, pamoja na kutafuta ajira, anza kuandaa maandiko ya biashara (business plan) upeleke sehemu mbali mbali...
Mimi nadhani kama tukiendelea kulaumu kuhusu haya haisaidii.
Kwanza jiulize wewe unayelaumu una suluhisho lolote?
Tatizo hili lina mizizi yake. Jiulize kuna sehemu ambayo watanzania wanafundishwa
UZALENDO ili kujua kwamba Tanzania kwanza halafu baadae DINI, SIASA na VYAMA?
Hivyo watu...
Kiukweli tunahitaji kuwa na sehemu maalum ya kutoa maelekezo kwa wote wanaokuwa wahadhiri wa vyou vyaelimu ya juu nchini. Kituo hiki kitakuwa kinatoa mafunzo ya muda mfupi(miezi miwili/mitatu) ya namna ya:
Kufundisha mbele ya wanafunzi( How to deliver material). Wengi wetu tumeshuhudia eti tu...
Natafuta chuo cha kufundisha Masomo ya IT in Part-Time basis.
Asubuhi mpaka saa saba na nusu mchana
Nipo vizuri Networking, Computer Basics, E-Commerce, Computer Maintainance, Computer Applications n.k
E-mail: mraphsam@yahoo.com
Call: 0713-953337
Habari za uzushi bana.! hakikisha unapata habari sahihi kabla hujasema. Mtambo wa kurushia matangazo wa TBC Dodoma una hitilafu kwa hyo wakimaliza kufanya marekebisho watarusha matangazo kutoka bunguni
Easy -Easier -Easiest Advertising Centre
Just click . Arusha Online: ARUSHA ONLINE
The BlogSpot that brings customers close to you
Our rates have deliberately been kept low to give businesses access to this important means of advertising.
Advertising Rates
1. Horizontal...
Sion haja ya serikali kuhangaika na vitu vidogovidogo kiasi hicho na kuwanyima wananchi starehe zao. Serikali 'corrupt' ndo inafanya hivyo
Tuna vyanzo vingi vya mapatao, kwanza tukiamua kuzalisha umeme tu vya kutosha tutauuza mpaka tusahau nyanja zingine.
Achilia mbali MADINI ambayo mirahaba...
Kama unaweza kufanya kazi ya kamisheni nipigie 0713 953337.
Kazi yenyewe ni kutafuta wateja wa accounting system inaitwa 'easy finance manager'. Ni nzuri sana kwa tz, tunaweza kum castamaizia mteja anavyotaka.
Ukiuza kwa milioni mbili unapata 20%
Ndugu zangu asalaam aleykum,
Tupo vijana kadhaa wajasiria mali tuna accounting package yenye jina tajwa hapo juu.
Tunaiuza kwa bei nafuu sana na ni nzuri kwa mazingira ya tanzania.
Kama unahitaji au unajua kampuni, azaki, asasi au mtu binafsi anayehitaji au kwa maelezo zaidi wasiliana nami kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.