Believe Not
Member
- Jul 30, 2015
- 9
- 1
Mgufuli namkubali ni jembe! Lakini kosa lake ni kuwa CCM chama bovu! Ni viongozi wangapi walioibukia kuwa viongozi(rais) wa nchi hii wakiwa na kila sifa ya kuwa viongozi bora ndani ya CCM lakini waliishia kuvurunda kwa sababu ya mfumo wa mbovu wa CCM????????!!! Hakuna shida wapenzi wa magufuli! Magufuli wetu tutampa uwaziri ndani ya serikali ya UKAWA ili aendelee kuwatumikia watanzania.