Kuhusu Mlipuko Arusha linganisha matukio haya, je yanawiana?

mmaroroi

JF-Expert Member
May 8, 2008
2,960
544
Leo kumetokea mlipuko katika ibada Kanisa Katoliki Olasiti, nianze kwa kutoa pole kwa wafiwa na majeruhi wote. Tukio hilo ni mlolongo wa matukio mbalimbali yaliyotokea yanayolenga makanisa na viongozi wa dini.

Ilianza mbagala-Dsm, Zanzibar na Mwanza, katika matukio haya hakuna hatua za dhati zilizochukuliwa zinazoonyesha kweli viongozi wetu wanakerwa na matukio hayo.

Kiongozi Mkuu wa nchi naye anahutubia kwa kulalamika badala ya kutoa tamko kali. Ebu angalia mtuhumiwa wa mauaji ya Padri huko Zanzibar anapelekwa mahakamani huku akicheka utafikiri kuna usanii unaendelea.

Sasa angalia issue nyingine Olasiti ndio kata ambayo diwani wake kahama kutoka CCM kuhamia Chadema na kata hiyo haijatangazwa kufanya uchaguzi. Wana JF ebu tuunganishe matukio haya yote ili tuone na juhudi za kuwakamata wahalifu katika tukio la leo zinawekwa uzito gani na tulinganishe na nguvu za Polisi waliotumika kumkamata Mbunge Lema.

Kingine kila matukio ya aina hii yanapotokea Mkuu wa kaya aidha yupo nje au anaenda nje ya nchi.

Hali hizi zote tuzitafakari halafu tuje na hitimisho baadaye. Mimi ninachokoza tuu, karibuni tudodoze masuala haya.
 
There is a loose link! Indeed, I see in this sad event an attack based on faith animosity than CCM vs CDM!
 
Matatizo ya Syria, Libya, Somalia, Sudan yalichangiwa na matukio kama haya..........
 
Leo kumetokea mlipuko katika ibada Kanisa Katoliki Olasiti, nianze kwa kutoa pole kwa wafiwa na majeruhi wote. Tukio hilo ni mlolongo wa matukio mbalimbali yaliyotokea yanayolenga makanisa na viongozi wa dini. Ilianza mbagala-Dsm, Zanzibar na Mwanza, katika matukio haya hakuna hatua za dhati zilizochukuliwa zinazoonyesha kweli viongozi wetu wanakerwa na matukio hayo. Kiongozi Mkuu wa nchi naye anahutubia kwa kulalamika badala ya kutoa tamko kali. Ebu angalia mtuhumiwa wa mauaji ya Padri huko Zanzibar anapelekwa mahakamani huku akicheka utafikiri kuna usanii unaendelea. Sasa angalia issue nyingine Olasiti ndio kata ambayo diwani wake kahama kutoka CCM kuhamia Chadema na kata hiyo haijatangazwa kufanya uchaguzi. Wana JF ebu tuunganishe matukio haya yote ili tuone na juhudi za kuwakamata wahalifu katika tukio la leo zinawekwa uzito gani na tulinganishe na nguvu za Polisi waliotumika kumkamata Mbunge Lema. Kingine kila matukio ya aina hii yanapotokea Mkuu wa kaya aidha yupo nje au anaenda nje ya nchi. Hali hizi zote tuzitafakari halafu tuje na hitimisho baadaye. Mimi ninachokoza tuu, karibuni tudodoze masuala haya.

Mkuu mimi wakati mwingine nasema wacha yatupate pengine tutajifunza! Kuna mtu aliyepigiwa upatu na wachungaji, mapadre na maaskofu kama Kikwete! Si walisema ni chaguo la Mungu! Haya yote waliyafanya baada ya kupewa fedha! Wacha labda ndio njia nzuri ya kujifunza!
 
Mungu atutie nguvu katika nyakati hizi ngumu. Hata wanaopanga mambo haya wajue hali ikiwa mbaya zaidi hata wao hawata salimika, waone Syria Iraq Somalia Kaskazini mwa Nigeria Palestina n.k
 
BBC:
"Bomu kanisani Arusha lauwa mtu mmoja"

Taarifa za karibuni kabisa zinaeleza kuwa mtu mmoja amekufa kwenye mripuko uliotokea katika ufunguzi wa kanisa la Katoliki la Olasiti, kwenye kitongoje cha Arusha, Tanzania.
Watu kama 50 wamejeruhiwa.
Makamo wa rais wa Tanzania, Dr. Mohamed Gharib Bilal amewasili Arusha kwenda kupeleka pole ya serikali kwa viongozi wa kanisa na majeruhi.
Dr. Bilal alisema serikali ya Tanzania itafanya kila iwezalo kuhakikisha kuwa inawapata watu waliohusika na mripuko huo.
Mtu mmoja amekamatwa lakini haikuelezwa ni nani au kama amehusika na kundi lolote.
 
Mkuu nakubaliana na wewe kwani angalia uzito na kasi ya tamko la Rais juu ya matukio haya hairidhishi kabisa. Ni kama mtu anahimiza amani kwenye public lakini kwenye kikao cha siri anawahiza washughulikieni wale wasiotuunga mkono. Kuna haja ya wananchi kujilinda wenyewe kwani waliopewa kazi ya kutuhakikishia ulinzi wako likizo na ubize kwa safari za nje ya nchi.
Na akitoa tamko sio la ukali na ni lazima alisawazishe ili pande zote zionekane zina makosa! Mimi nadhani kuna mkakati maalumu.... si bure!
 
4real kama polisisiem wangepiga cm haraka kujua ni gari gani limetoka eneo la tukio na wakasambaa kwa wingi kama walivyokua wakimlinda Mh Lema nyumbani kwake am sure wangewapata hao magaidi, otherwise wameshiriki ndo maana wameweka nguvu ndogo kwenye kuwahi kutake reaction
 
Hii ni inside job, Zokka na CCM just to scare people and to divert hot issues in order to survive.Issue ya Ujangiri wa Kinana ni hot hadi ughaibuni.
 
Fbi waliingia arusha na kumshikilia wakili mmoja asiyetajwa jina kwa tuhuma za kuhusika kuhalarisha pesa haramu wakataka kuondoka nae USA wakakosa uhalali toka kwa Mkuu wa upelelezi Ar Hata wakasema anashukiwa kwa ugaidi. Leo tena 4:30 umetokea mlipuko katika kanisa moja unaohisiwa ni wa kigaidi?!????????!!!!!!!''!
 
4real kama polisisiem wangepiga cm haraka kujua ni gari gani limetoka eneo la tukio na wakasambaa kwa wingi kama walivyokua wakimlinda Mh Lema nyumbani kwake am sure wangewapata hao magaidi, otherwise wameshiriki ndo maana wameweka nguvu ndogo kwenye kuwahi kutake reaction
Ebu angalia Polisi wetu waliohadari kupiga mabomu kuzuia maandamano, wanashindwa kuzuia madhara kwa raia wasio na hatia. CCM wanatumia wingi wao Bungeni kulea matatizo haya badala kuyatolea tamko kweli wingi wao una manufaa kwa Watanzania?
 
Acha tuone uwezo wa police wa arusha ni kumvamia lema ucku wa manane na kuzuia maandamano ya cdm tu? Au wataweza kuwavamia na hawa magaidi? Mana labda walfunzwa kumkamata lema tui yaliyotokea yanayolenga makanisa na viongozi wa dini. Ilianza mbagala-Dsm, Zanzibar na Mwanza, katika matukio haya hakuna hatua za dhati zilizochukuliwa zinazoonyesha kweli viongozi wetu wanakerwa na matukio hayo. Kiongozi Mkuu wa nchi naye anahutubia kwa kulalamika badala ya kutoa tamko kali. Ebu angalia mtuhumiwa wa mauaji ya Padri huko Zanzibar anapelekwa mahakamani huku akicheka utafikiri kuna usanii unaendelea. Sasa angalia issue nyingine Olasiti ndio kata ambayo diwani wake kahama kutoka CCM kuhamia Chadema na kata hiyo haijatangazwa kufanya uchaguzi. Wana JF ebu tuunganishe matukio haya yote ili tuone na juhudi za kuwakamata wahalifu katika tukio la leo zinawekwa uzito gani na tulinganishe na nguvu za Polisi waliotumika kumkamata Mbunge Lema. Kingine kila matukio ya aina hii yanapotokea Mkuu wa kaya aidha yupo nje au anaenda
 
Mimi nadhani kama tukiendelea kulaumu kuhusu haya haisaidii.
Kwanza jiulize wewe unayelaumu una suluhisho lolote?
Tatizo hili lina mizizi yake. Jiulize kuna sehemu ambayo watanzania wanafundishwa
UZALENDO ili kujua kwamba Tanzania kwanza halafu baadae DINI, SIASA na VYAMA?
Hivyo watu wanatanguliza kwanza mambo yao badala ya TANZANIA FIRST!!!!!!!!!!
Unafuata historia shuleni unategemea nini? Taifa lisilojua historia ni sawa na gari lisilo
na dereva ipo siku litaingia mtaroni..... hayo ndo yanasababisha hayo.
Kumbuka watu wakiwa wazalendo watajua kwamba mawazo ya watu wanatofautiana.
Kupeleka watu JKT ndo kuwafanya wazalendo wakati watu washakuwa wazima na washalishwa
sumu za kutosha.
Tukumbuke enzi za vyama kama AMNUT, hekima gani ilitumika kumaliza tofauti?
Enzi za kura tatu watu walitofautiana? Walitishana?
Mwisho: Hatma na mustakabali wa taifa la Tanzania haupo kwa chama, dini wala kabila lolote. Bali upo ndani ya mtu makini anayetambua uzalendo wa chi hii... TANZANIA KWANZA VINGINE BAADAE
 
Tutasikia mengi sana

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
leo kumetokea mlipuko katika ibada kanisa katoliki olasiti, nianze kwa kutoa pole kwa wafiwa na majeruhi wote. Tukio hilo ni mlolongo wa matukio mbalimbali yaliyotokea yanayolenga makanisa na viongozi wa dini. Ilianza mbagala-dsm, zanzibar na mwanza, katika matukio haya hakuna hatua za dhati zilizochukuliwa zinazoonyesha kweli viongozi wetu wanakerwa na matukio hayo. Kiongozi mkuu wa nchi naye anahutubia kwa kulalamika badala ya kutoa tamko kali. Ebu angalia mtuhumiwa wa mauaji ya padri huko zanzibar anapelekwa mahakamani huku akicheka utafikiri kuna usanii unaendelea. Sasa angalia issue nyingine olasiti ndio kata ambayo diwani wake kahama kutoka ccm kuhamia chadema na kata hiyo haijatangazwa kufanya uchaguzi. Wana jf ebu tuunganishe matukio haya yote ili tuone na juhudi za kuwakamata wahalifu katika tukio la leo zinawekwa uzito gani na tulinganishe na nguvu za polisi waliotumika kumkamata mbunge lema. Kingine kila matukio ya aina hii yanapotokea mkuu wa kaya aidha yupo nje au anaenda nje ya nchi. Hali hizi zote tuzitafakari halafu tuje na hitimisho baadaye. Mimi ninachokoza tuu, karibuni tudodoze masuala haya.

pumbafu, huna huruma na nchi yako kwa mapenzi ya siasa.
Nyege za kushabikia makundi zinakusumbua bila kuona mbele.
Heri nipigwe ban kuliko kukuonea huruma mjinga mkubwa hujui chochote zaidi ya chama chako.
 
Leo kumetokea mlipuko katika ibada Kanisa Katoliki Olasiti, nianze kwa kutoa pole kwa wafiwa na majeruhi wote. Tukio hilo ni mlolongo wa matukio mbalimbali yaliyotokea yanayolenga makanisa na viongozi wa dini. Ilianza mbagala-Dsm, Zanzibar na Mwanza, katika matukio haya hakuna hatua za dhati zilizochukuliwa zinazoonyesha kweli viongozi wetu wanakerwa na matukio hayo. Kiongozi Mkuu wa nchi naye anahutubia kwa kulalamika badala ya kutoa tamko kali. Ebu angalia mtuhumiwa wa mauaji ya Padri huko Zanzibar anapelekwa mahakamani huku akicheka utafikiri kuna usanii unaendelea. Sasa angalia issue nyingine Olasiti ndio kata ambayo diwani wake kahama kutoka CCM kuhamia Chadema na kata hiyo haijatangazwa kufanya uchaguzi. Wana JF ebu tuunganishe matukio haya yote ili tuone na juhudi za kuwakamata wahalifu katika tukio la leo zinawekwa uzito gani na tulinganishe na nguvu za Polisi waliotumika kumkamata Mbunge Lema. Kingine kila matukio ya aina hii yanapotokea Mkuu wa kaya aidha yupo nje au anaenda nje ya nchi. Hali hizi zote tuzitafakari halafu tuje na hitimisho baadaye. Mimi ninachokoza tuu, karibuni tudodoze masuala haya.
SIKUBALIANI NA WEWE kwasababu unataka kuilink hii issue na siasa za cdm na ccm..hii ni way too serious..ni religious intolerance hii...chuki dhahiri za kidini japo tunajaribu kujifanya oh uchunguzi unaendelea mara nini...lakini ukweli tunaujua. ndugu hawalipendi kanisa katoliki hawapendi ukristu...chanzo? kwakweli sijui...ila mti mwema utaujua kwa matunda uzaao...
 
Back
Top Bottom