Mpenzi wangu kanizidi umri

Mpenzi wangu kanizidi umri

tafuata umri wa mwenzi wako kwa formula hii:
y = x/2+7
Note: y - mwanaume
x - mwanamke
kama wewe ni mwanamke make x the subject.

Hata Adam alikuwa mkubwa kuliko Hawa. Najua utabisha lakini according to Biblia siku moja kwa Mungu ni sawa na miaka 1000.....
 
Hana lolote huyo, si ajabu na yeye analelewa, anajishaua tu hapa jf
Atuache watu tujipe raha, kama linamuuma mkaka kuwa na mpenzi mwenye umri mkubwa apeleke maoni kwenye kaiba mpya. Raha tuapte sie, kuumia aumie Matola inahu........!


Naona mwanangu wamekufikisha kwenye anga zako za rusha roho!

Mtoto una mdomo michafu kuliko wale waliberali!! Duhhh!

We bado kidogo tu utaitwa mwajuma!

Teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
BwjMRjoj4yZlAAAAAElFTkSuQmCC
 
Hana lolote huyo, si ajabu na yeye analelewa, anajishaua tu hapa jf
Atuache watu tujipe raha, kama linamuuma mkaka kuwa na mpenzi mwenye umri mkubwa apeleke maoni kwenye kaiba mpya. Raha tuapte sie, kuumia aumie Matola inahu........!

Kwani we huna habari kuwa huyu ni mwanangu wa kufikia??
 
Last edited by a moderator:
kama hiki kitu kinawezekana kweli maana kwa utaratibu unaojulikana ni kuwa mume lazima amzidi umri mke!

wewe ndiyo unajibu ya km hiyo kitu inawezekana.........

hlf huo utaratibu unajulikana na nani? naona unajipotosha.
 
Haupendi wewe ni uondo tu, ungekuwa unampenda kweli ungeshatubu kwake uongo wako.

Mwambie ujue nini ni nini, the usonge mbele. Inaelekea anakutunza sasa hivi unaogopa kuachwa.
 
Kaka mwanamke hata umzidi umri anabaki Kuwa MDOGO tu pia umri is just a number witu wanatafuta penzi LA kweli na sio nani nimemzidi au nani tunalingana utachemka kama umempenda fwata taratibu awe wako daima tena ushahuri mwingi utakupoteza Kuwa makini.
 
We ishi naye hiyo ukizingatia wanaume huwa tunawahi kufa na kuwaacha wake zetu wakifaidi mali, hivyo hapo utakuwa angalau umesogeza umri wako karibu na yeye,

Si lazima mme amzidi mke umri kama ulivyo conclude japo imezoeleka hivyo katika jamii.Lakini kwanini ulimdanganya kama unampenda kweli?

Mwambie ukweli tu,na kama atakubaliana na huo ukweli na bado mkaendelea kupendana sidhani kama umri ni kigezo kikubwa.
 
Hana lolote huyo, si ajabu na yeye analelewa, anajishaua tu hapa jf
Atuache watu tujipe raha, kama linamuuma mkaka kuwa na mpenzi mwenye umri mkubwa apeleke maoni kwenye katiba mpya. Raha tupate sie, kuumia aumie Matola inahu........!

Loser, endelea kujipa moyo dear scraper.
 
Kaka mwanamke hata umzidi umri anabaki Kuwa MDOGO tu pia umri is just a number witu wanatafuta penzi LA kweli na sio nani nimemzidi au nani tunalingana utachemka kama umempenda fwata taratibu awe wako daima tena ushahuri mwingi utakupoteza Kuwa makini.

Bunch of losers.
 
Naona mwanangu wamekufikisha kwenye anga zako za rusha roho!

Mtoto una mdomo michafu kuliko wale waliberali!! Duhhh!

We bado kidogo tu utaitwa mwajuma!

Teh teh teh!

Satan fellowship with Satan's verses.
 
bro pole,niliwai kuwa na uhusiano na mwanafunzi mwenzangu alinipita mwaka mmoja chuoni,alinidanganya miaka.real alinijali mnoooo yale mapenzi ya kidhungu nilipata,nami nikajikuta kumpenda lkn hakika miaka ilikuja kututenanisha iliniathiri kutengana kwetu naye ilimuathiri,tangu nilipojua mimi ni mkubwa ilinisumbua kweli iliniumiza nikamuomba tuachane.nataka kukwambia kweli miaka yaweza kuwa si kitu ila inaweza kuwa kitu pia kitakachosababisha upendo uvuje.kama ulimpenda sijaona sababu ya wewe kumficha kitu ambacho hakifichiki.kila mtu anavigezo vyake anavyovitaka.matatizo yanayoweza kutokea pindi mwanamke akimzidi mume ni ile hali yeye mwanamke binafsi kujinyanyapaa kabla hata hajanyanyapaliwa.wajuwa mwanamke uwezo wake wa kuzaa unawai kukoma kabla ya mwanaume,nikijichukulia mfano mimi wakati nikiwa chuo kutokana na umri wangu nilikuwa nafikilia angalau tuoane baada ya kumaliza chuo lkn mwenza anafikilia kuendelea na master(sijawai msikia akiwa na hamu ya kuitwa baba) na akinisii tusome kuzaa tutakuja kuzaa baadae.yeye alikuwa hana haraka ya kuitwa baba wakati mimi naona umri wangu nataka kuitwa mama.nimewai kuona baadhi ya watu wengi mwanaume anaweza fanya jambo theni mwanamke akijichukulia ati mwenzake anafanya jambo hilo kwakuwa yeye ni mkubwa,jambo lingine laweza tokea heshima kwa mwanamke yaweza pungua.ila yote ya yote jaribu kumpa ukweli theni uone atalipokeje?
 
Kinachowaunganisha watu ni upendo,kuheshimiana na kuvumiliana. Utashi wa hali ya juu kwa mwanaume kuimudu nyumba yako ndio hoja ya msingi na siyo umri.
 
mwanamke akikuzidi umri juwa amekuzidi kila kitu huu ndio ukweli. utaki unaacha.

We mtoto wa kufikia wa kahtaan naomba tafadhali tena tafadhali sana usinitongoze PM eti unataka nikusugue kishuzi chako...naomba acha kabisa na ile vocha ya 50000 uliyonitumia ili nikutaftie bwana hela nimekula na mume sikutaftii fanya uwezalo khanith wahed.... huo uchafu upo kanisani tu...kwa msaada zaidi nenda pale mwenge kwa kakobe au kama wataka ngozi nyeupe yenye govi basi ingia hapa www.gaychristian.net MIMI SITAKI WANAUME...kama wataka nikusaidie kwa mkeo/dadako/mamako basi ni PM lakini Kwa mimavi watafute maaskofu/mapadrii.... mera bete achao dhushman kiyahe
 
Last edited by a moderator:
nakushauri angalia averageya umri mliopshana.kama n more than 5 years kdogo hapo haiko poa.bt kwann doubt umri wake sasa?kwanini sasa?hapo mwanzo hukujua hlo!!?
 
Loser, endelea kujipa moyo dear scraper.
Wewe andika kiswahili kila siku nakuambia kingereza unakipenda lakini chenyewe akikupendi.

Wewe mbele ya wanaume uwe unakaa kimya ungekuwa mjanja ungekaa kwa mdogo wako wa kike, Koku, segerea, amekutoa Bukoba Kashai, hata kutembea hauwezi vidole vyote vimeliwa na funza.

Utaendelea kulinda nyumba ya shemeji yako na kupeleka watoto shule siku bwa shemeji akikasirika anawafukuza wote kauzu wewe.
 
We mtoto wa kufikia wa kahtaan naomba tafadhali tena tafadhali sana usinitongoze PM eti unataka nikusugue kishuzi chako...naomba acha kabisa na ile vocha ya 50000 uliyonitumia ili nikutaftie bwana hela nimekula na mume sikutaftii fanya uwezalo khanith wahed.... huo uchafu upo kanisani tu...kwa msaada zaidi nenda pale mwenge kwa kakobe au kama wataka ngozi nyeupe yenye govi basi ingia hapa www.gaychristian.net MIMI SITAKI WANAUME...kama wataka nikusaidie kwa mkeo/dadako/mamako basi ni PM lakini Kwa mimavi watafute maaskofu/mapadrii.... mera bete achao dhushman kiyahe

Teh teh teh teh!
Mkuu kumbe kidosi pia unakipiga!??

Duhh! We ni mwisho!
 
Last edited by a moderator:
We mtoto wa kufikia wa kahtaan naomba tafadhali tena tafadhali sana usinitongoze PM eti unataka nikusugue kishuzi chako...naomba acha kabisa na ile vocha ya 50000 uliyonitumia ili nikutaftie bwana hela nimekula na mume sikutaftii fanya uwezalo khanith wahed.... huo uchafu upo kanisani tu...kwa msaada zaidi nenda pale mwenge kwa kakobe au kama wataka ngozi nyeupe yenye govi basi ingia hapa The Gay Christian Network MIMI SITAKI WANAUME...kama wataka nikusaidie kwa mkeo/dadako/mamako basi ni PM lakini Kwa mimavi watafute maaskofu/mapadrii.... mera bete achao dhushman kiyahe
Duu!! Kumbe Matola nazi mbata watu washoka wanakamua mafuta, teh teh teh.
 
Last edited by a moderator:
Duu!! Kumbe Matola nazi mbata watu washoka wanakamua mafuta, teh teh teh.

Ahhh kumbe hujawai kumwona bi Matola???? Shemeji yake anakasirika wanja na powder za mkewe (dadake matola) anazimaliza matola
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom