Wanawake bana, sijui Dudu huwa inawapa mvurugiko wa akili? unaona kabisa the Nigga is using you, ila sababu anakupa Dudu , basi hujielewi na wala huoni. Amka dada wacha kuendekeza Dudu utakufa maskini.
Wilaya ya Kwimba, ndani ya Mkoa wa Mwanza. Hii Wilaya ipo nyuma sana aisee. Wewe lima tu mzee , wasukuma wanalima Mahindi na Maharage hapo kwimba miaka nenda rudi.
hicho kipindi, Mwanza kulikuwa na radio station kama 4 hivi, lakini wajinga walikuwa hawapigi nyimbo za wasanii wa Mwanza kabisa, unless utoe hela. Na hata ukitoa, watapiga siku mbili au tatu. Kidbway mmoja wao. achilia mbali producers kuwa miungu watu, Radio presenters ndio usiseme.
Haya mambo ni mepesi tu kwa kuyasema ukiwa kwako chumbani au kitandani au sebleni. Lakini ukihitajika japo ujitoe mhanga kwa watu wako kama Mandela hutaweza asilani. Tumpe tu heshima yake huyu Mzee, na apumzike kwa amani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.