Recent content by Ramaan

  1. R

    Ungekuwa wewe ungemshauri nini huyu dada?

    Wanawake bana, sijui Dudu huwa inawapa mvurugiko wa akili? unaona kabisa the Nigga is using you, ila sababu anakupa Dudu , basi hujielewi na wala huoni. Amka dada wacha kuendekeza Dudu utakufa maskini.
  2. R

    Nyegere wanamaliza kuku bandani, je nitawadhibitije?

    Mwamba nyegere hata Simba anamkimbia.
  3. R

    Naomba ushauri kuhusu kilimo Cha maharage Wilayani Kwimba

    Wilaya ya Kwimba, ndani ya Mkoa wa Mwanza. Hii Wilaya ipo nyuma sana aisee. Wewe lima tu mzee , wasukuma wanalima Mahindi na Maharage hapo kwimba miaka nenda rudi.
  4. R

    Tumetoka mbali - kuna ngoma za zamani ni kama vile vocal imerekodiwa kwa simu ikadondosjwa juu ya beat

    Q, alikuwa hana noma kabisa. Sema ili mwende sawa nenda na chupa ya konyagi tu. :D
  5. R

    Tumetoka mbali - kuna ngoma za zamani ni kama vile vocal imerekodiwa kwa simu ikadondosjwa juu ya beat

    hicho kipindi, Mwanza kulikuwa na radio station kama 4 hivi, lakini wajinga walikuwa hawapigi nyimbo za wasanii wa Mwanza kabisa, unless utoe hela. Na hata ukitoa, watapiga siku mbili au tatu. Kidbway mmoja wao. achilia mbali producers kuwa miungu watu, Radio presenters ndio usiseme.
  6. R

    Naishi na Mwanaume, tatizo nikimgusia suala la ndoa anadai nisubiri hayuko tayari kwa sasa

    Hata hili umeshindwa kungamua kweli. ? Wewe sio chagua lake la kuoa. Bali mnasogeza maisha for the time being.
  7. R

    Je, viapo vya Wateule wa Rais ambao ni Waislamu ni sahihi?

    SWEAR & AFFIRM.....haina tatizo vyote ni viapo kwa muktadha wa Islam na wakristo. ..
  8. R

    Swali chokonozi: Hayati Magufuli aliwapigania wanyonge gani?

    Pamoja na umati mkubwa wa watanzania waliojitokeza kumuaga, bado unauliza swali hili?
  9. R

    Duniani Kuna Imani zaidi ya Moja?

    Mifano yako imejikita katika Trust, na sio Faith...
  10. R

    Ujenzi wa SGR Mwanza-Isaka kuanza wakati wowote

    Dah nimecheka sana.
  11. R

    It's Important To Marry A Strong Man With Strong Equipment See The Reason Why

    Have totally failed to comprehend this submission.
  12. R

    Ewaa, hatimaye nimelipa kisasi... Full shangwe

    Yaani mke wa mtu halafu umemkuta kama alivyo zaliwa
  13. R

    Mandela alijipatia uhuru binafsi na sio Waafrika Kusini

    Haya mambo ni mepesi tu kwa kuyasema ukiwa kwako chumbani au kitandani au sebleni. Lakini ukihitajika japo ujitoe mhanga kwa watu wako kama Mandela hutaweza asilani. Tumpe tu heshima yake huyu Mzee, na apumzike kwa amani.
Back
Top Bottom