witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,099
TrueMkuu unaacha kutoa lift kisa mtu atakufia kwenye gari? What if ndiyo ulikuwa unaokoa uhai wake? Mtazamo wangu kama kitu unakifanya at utmost good faith hata Mungu atakulinda. Jitahidi sana uwe unachuma baraka kutoka kwa watu,it worth a thousand times kuliko hata nguvu na akili tunazotumia kutafuta maisha
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app