Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,402
- 191,524
Chizi freshi huyoYaani huyu ni chizi kweri kweri !! Au nasema uongo ndugu yangu
Chizi freshi huyoYaani huyu ni chizi kweri kweri !! Au nasema uongo ndugu yangu
Wanawake bana, sijui Dudu huwa inawapa mvurugiko wa akili? unaona kabisa the Nigga is using you, ila sababu anakupa Dudu , basi hujielewi na wala huoni. Amka dada wacha kuendekeza Dudu utakufa maskini.Habari Kaka, mimi ni Mama wa watoto wawili, nimeolewa ndoa yangu ina miaka 7 sasa, mwkaa jana nilikorofishana na mume wangu, nilimfumania na dada wa kazi. KutoKana na kunidhalilisha nilichukua jukumu la kuondoka ili kumuacha, lakini alikuja kuomba msamaha nikamsamehe, lakini nilishindwa kusahau, nikiwa katika upweke huo nilijikuta naanzisha mahusiano na X wangu.