Jiwazie na wewe!umejipangaje kukabiliana na watoto wa Dom,mi kwa research yangu isiyo rasmi mwanaume akiacha mke akatangulia pale huwa hawakumbuki kuleta mke/familia,badala yake anaanzisha familia mpya,wakazi wa mji huu wakarimu kupita kiasi,usipokuwa makini unaoa bila kutarajia.Waliowahi...
Ndoa ni ya wawili,mwanaume ataacha wazazi wake ataambatana na mke.Kwanini akae kwenu?,anatakiwa kukaa kwenye mji wenu so kwa wazazi,mlipendana wenyewe shaurianeni,sisi tutawashauri lakini shauri kuu kwenu.Ndo unajua umhim wa mkeo.
Hasa hofu ya kushindwa ndo imewamaliza wengi,mjasiriamali ni lazima uwe na moyo wa jiwe,kuna wakati unaona biashara ama mradi uko mwishoni kuelekea kufa,mengi yanazungumzwa kwa ndg,jamaa na marafiki hata wenza.Amini kushindwa zoezi A linakupa akili ya kujipanga na B,naamini kushindwa kwingi...
Kutoka kwenye ajira inahitaji maamuzi magumu,kabla hujaacha kazi anzisha biashara au mradi ambao utausimamia na ukaona faida yake inakuwaje na kama umepata hasara urekebishe wapi.Kwa sababu Mara nyingi biashara haikuwi Mara moja,ni kusimama na kuanguka.Tafakari kabla.
Mshauri mkuu ni wewe,Kama unapenda nursing nenda,na ujue A_Z yake huku si mchezomchezo.Pia angalia future yako,usisome kozi ambayo huna kipaji nacho,itakuwa mzigo na majuto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.