Mnyang'anyi
Member
- Jul 10, 2011
- 72
- 51
mungu anakuana ujue..Kumbe Joti ni Mwanaume
mungu anakuana ujue..Kumbe Joti ni Mwanaume
HahahaKumbe Joti ni Mwanaume
why unamhusisha ruge na joti mkuu?hadi joti anaoa? ruge aone aibu
uwiiiiiImagine unaambiwa huyu ni baba yako.
Hakuna tafsiri direct ya uzuri inategemea na mtuHeshima boss?.
Mzuri fasili yake ni ipi?. Nisaidie kupanua uelewa, Kumradhi.
yupi mzurii?Mbona km mdada mbaya au machp yangu jamani...
Subiri aoe ndo utakuwa na uhakikaKumbe Joti ni Mwanaume
Umeshaolewa?Sawa, ingawaje mi harusini hata kwa mtutu wa bunduki au risasi za lissu huwa siendi! Mtatuwakilisha
Kazur bana sema hiyo Picha itakua imepigwa na tecno werevaaaaMbona km mdada mbaya au machp yangu jamani...
Baade ukute ni tangazo
Matukio katika picha mchekeshaji joti akiwa na mkewe mtarajiwa kwenye sendoff paty yao. Jumamosi hii ndio harusi babkubwa ndani ya ukumbi wa mlimani city
Siwapendi wadada mnajitia hiyo midubuwasha..! Mungu aniepushe na wadada wa kiswahili anibariki mbantu mmoja matata...!Apunguze makulaji vinginevyo atazeeka vibaya mno na bwana ake alivyo km kitoto kazi ako nayo
Midubwasha ipi mkuu???Siwapendi wadada mnajitia hiyo midubuwasha..! Mungu aniepushe na wadada wa kiswahili anibariki mbantu mmoja matata...!
Itakuwa ni ndoa ya jinsia moja hiyo mkuu. Ngoja tusubiri tuone.Na mimi kiukweli ninakosa uhakika maana nimesikia Anafunga ndoa kuangalia picha nakuta wote wanawake nakajiuliza nani anaoa au kuolewa?