Mwanakijiji sasa unaishiwa kabisa, to the extent kwamba sasa unataka tushawishike kuwa mfumo wa chama kimoja ndio suluhisho la matatizo yetu,
Hiyo nchi unayoishi hapo Marekani unaona jinsi democrat wanavyo critisize republican, bado hujapata somo lolote kutoka marekani, basi ni bora urejee...