Mwanagenzi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2006
- 741
- 281
Joseph Rwegasira pia
mwanakijiji hii ni nzuri sana na tunakuhaidi ushirikiano wote unaotakiwa,
sasa wakati wa mkataba wa IPTL(walio sign MOU) wahusika walikuwa hawa
Rais alikuwa ALLY HASSAN MWINYI
Waziri wa mipango alikuwa HORACE KOLIMBA
waziri wa nishati na madini JAKAYA MRISHO KIKWETE
waziri wa fedha KIGHOMA MALIMA??(NOT SURE)
mwanasheria mkuu ANDREW CHENGE
katibu ofisi ya rais(Uchumi) JUMA NGASONGWA
katibu wizara ya nishati RUTABANZIBWA
katibu wa wizara ya fedha RAPHAEL MOLLEL
director tanesco SIMON MHAVILLE
commision for energy ESTHER MASUNZU
Reverend, that is exactly what I'm trying to find out and create a logical timeline. So, kama ilikuwa ni chini ya Mwinyi, ununuzi wa rada ulikuwa chini ya Wizara gani ya fedha, ya mawasiliano na uchukuzi, ya Ulinzi, ofisi ya Rais au ni ipi?
Yebo Yebo, hiyo bold statement, unajua for a "fact" kuwa JWTZ ilihusika? at what level? maana hata miye najua just by logical deduction kuwa kama hii rada ni ya matumizi ya kijeshi (according to Daniel Yona) bila ya shaka JWTZ ilihusika; au una maana ya kuhusika zaidi ya kutoa mapendekezo au mahitaji yao?
Mbona ni walewale tu? Halafu eti mnategemea mabadiliko! Kunyweni bia na whisky zenu mkalale! Na kwa wanaoweza makasheshe ya siasa waingie ulingoni wapambane! Mi nashughulikia mlo wangu wa kila siku, mchango wangu kwa taifa ni kusomesha watoto wachache yatima kwa pesa ninazopata kwa jasho langu! Na tena wala si kwa kutaka kupigwa picha kwenye magazeti ili nionekane mwema saan; au kuanzisha NGO ili nipate wafadhili! Lah hasha bali ni kutoa ni kutoa kwa moyo mkunjufu na wala si kwa utajiri. Na hao wachache nitaowasaidia watanikumbuka na kunishukuru kila mmoja kwa imani yake, na kwa moyo wake. Na wala si kwa kuonekana kwenye vichwa vya habari vya magazeti na luninga!
Si lazima uwe mbunge au mwanasiasa ili kuleta mabadiliko katika jamii ya Watanzania hawa masikini!