DrWHO umenena kilimo ni jambo la msingi sana juu ya hapo ni elimu, nchi nyingi za kiafria hatuna kilekitu wazungu wanaita 'country comparative advantage' kukosekana kwa vipaumbele kunasababisha tukose mwelekeo.
Kilimo
Kima tutaweka mkazo kwenye kilimo cha kisasa kwa kuwapa ruzuku wakulima wadodogo, kwa hili tutafika mbali ' wakulima wakubwa si muarubaini bali ni matatizo' kama wawekezaji serikali inawapa ruzuku 'msamaha wa kodi' kwanini wakulima wetu wasipewe.
soko la mazao ni kubwa sana ndani na nje ya nchi, ila hapa umakini unahitajika, hawa madalali wa kiindi lazima wamulikwe wasiendelee kunyonya wakulima uandalia utaratibu mzuri wa soko la mazao.
ni mara ngapi mmesikia wakuu wa mikoa wakipiga marufuku uuzwaji wa chakula nchi za jirani, soko ni kubwa sana ndugu zangu tutie shime, kwa hili zitatengenezwa ajira nyingi vijijini na wimbi la wazururaji mijini litapungua.
Elimu
Nchi ikiwekeza kwenye elimu matunda yake ni dhari, kwa sasa masoko ya ajira duniani yamuanza kufunguliwa kwa wale wenye elimu, kama nchi itasomesha watu wake, itakuwa ni rahisi kwa nchi kukusanya mitaji na itapelekea utehgemezi wa nje upungue, mfano tunaambiwa waandisi wa tanzania wasoko sana kusini mwa afrika, nchi ya Botswana ikiwa mfano, kwanini wasisomeshwe waandisi wengi zaidi na taaluma nyingine wakafanye kazi nje ya nchi na watakao baki waendeleze taifa, hawa jamaa wataleta pesa nyingi sana nchini.
Nawauliza wanaforum 'what should be tanzania copmarative advantage'
Kilimo
Kima tutaweka mkazo kwenye kilimo cha kisasa kwa kuwapa ruzuku wakulima wadodogo, kwa hili tutafika mbali ' wakulima wakubwa si muarubaini bali ni matatizo' kama wawekezaji serikali inawapa ruzuku 'msamaha wa kodi' kwanini wakulima wetu wasipewe.
soko la mazao ni kubwa sana ndani na nje ya nchi, ila hapa umakini unahitajika, hawa madalali wa kiindi lazima wamulikwe wasiendelee kunyonya wakulima uandalia utaratibu mzuri wa soko la mazao.
ni mara ngapi mmesikia wakuu wa mikoa wakipiga marufuku uuzwaji wa chakula nchi za jirani, soko ni kubwa sana ndugu zangu tutie shime, kwa hili zitatengenezwa ajira nyingi vijijini na wimbi la wazururaji mijini litapungua.
Elimu
Nchi ikiwekeza kwenye elimu matunda yake ni dhari, kwa sasa masoko ya ajira duniani yamuanza kufunguliwa kwa wale wenye elimu, kama nchi itasomesha watu wake, itakuwa ni rahisi kwa nchi kukusanya mitaji na itapelekea utehgemezi wa nje upungue, mfano tunaambiwa waandisi wa tanzania wasoko sana kusini mwa afrika, nchi ya Botswana ikiwa mfano, kwanini wasisomeshwe waandisi wengi zaidi na taaluma nyingine wakafanye kazi nje ya nchi na watakao baki waendeleze taifa, hawa jamaa wataleta pesa nyingi sana nchini.
Nawauliza wanaforum 'what should be tanzania copmarative advantage'