John Mnyika
JF-Expert Member
- Jun 16, 2006
- 713
- 1,249
Februari:
Wapendwa,
Kama ilivyoada naomba niwatake radhi kwa kuogelea kwenye bahari ya ukimya. Nilikuwa nafuatilia mijadala inavyokwenda japo mara chache ingawa muda wa kutoa nami mawazo yangu ulikuwa kiduchu. Leo nimepita hapa kijiweni japo nidondoe machache.
Mara ya mwisho kuandika nilisema nikija nitaanza na family business, lakini naona DrWHO alinijia juu kuhusu swali lake la kama Mbowe ni realist au la na akasema mengi kuhusu CHADEMA na conservative.
Kwa upande mwingine ligi ya Mkandara na Eric kuhusu majimbo ilikuwa ndefu kweli kweli. Very critical, very informative!. Kwa hiyo nimeona nianzie na masuala haya.
Nikiri pia kwamba nimepitwa muda mrefu kwa hiyo sijasoma neno kwa neno. Nitachangia kwa ujumla na kama kuna suala mahususi litakuwa limesalia basi mnidokeze nalo nilijadili.
Mosi nianze kwa kutambua wote waliochangia hoja ya CHADEMA;REALISM na CONSERVATISM.
DrWHO:
Disemba 8; umehoji kwa nini kwenye website ya CHADEMA hakuna maelezo kuhusu uhusiano wa CHADEMA na conservative na republican-Si kila kitu kinawekwa kwenye tovuti; hivi umeona kwenye website ya taifa uhusiano wa Tanzania na kila nchi ambayo tuna uhusiano nayo? Nadhani hii haikuwa hoja ya muhimu. Cha msingi ni kuwa website imeeleeza mkakati wetu kuhusu mahusiano ya kimataifa nk. Hata hakuna sehemu inayoeleza uhusiano wetu na CUF etc. Unapaswa kujua CHADEMA ina uhusiano na vyama mbalimbali duniani.Nitajadili hili kidogo chini.
Mzee Es:
Disemba 9; umeuliza kwamba Je, Freeman anapata pesa kutoka ile charity ya blair. Jibu, ni hapana. Kuhusu conservative nitajadili chini.
DrWHO:
Disemba 9;Je, CHADEMA inauza nchi kwa waingereza mara ya tatu? Hapana, labda serikali ya CCM inayoendeshwa kwa misaada toka nje huku uingereza ikiwa ni mtoaji namba moja. Zaidi ya asilimia 95 ya bajeti ya CHADEMA inatokana na ruzuku na michango ya wanachama.
Jasusi ;
Disemba 9 : Does it mean CHADEMA will swallow the policies of conservative ? hapana, nitajadili hapa chini.
DrWhO:
Disemba 9; DrWHO; umesema CHADEMA haiko transparent. Hapana, CHADEMA imekuwa ikiweka uhusiano wake na vyama mbalimbali bayana. Tofauti na vyama vinavyoleta wageni wa nchi mbali na kufanya programu kwa siri. Sisi tumefikia mpaka hatua ya kusema wazi kwa vyombo vya habari tumepokea shilingi ngapi toka conservative kwa ajili ya kuendesha mafunzo ya wagombea! Tumeweka wazi matumizi yetu ya kampeni. Mbona vyama vingine viko kimya mpaka leo?
Disemba 9; ndabita alifafanua mambo kadhaa sijui kama DrWHO uliyasoma. Yasome!
Mwanasiasa:
Disemba 9,thanks for clarifaction you sought from DrWHO
Ndabita;
Disemba 9; asante kwa mchango wako wa nyongeza
DrWHO:
Disemba 10; ni kweli CHADEMA ina uhusiano kamili na conservative lakini si kweli kwamba kwa sasa tuna uhusiano kamili na republican. Na ni ukweli ni kuwa hatujawahi kupokea hata senti moja mpaka sasa toka republican. Kwa hiyo chama hiki tukiondoe kabisa kwenye huu mjadala
Ni kweli alama ya torries/conservative sio tena ule mwenge kama wa CCM siku hizi-wana alama ya mti na rangi za kijani kama CCM!
Lakini uchambuzi wako hauna maana sana kwa conservative ya sasa-facts zipo tofauti sana: Soma conservative renewal!
(Lakini huu mjadala sio muhimu, why should we discuss a party in UK? Ni kama kuwa mwanachama wa Manchester na kuacha kushabikia Simba ya jirani kwako)
Umeuliza is the alliance based on ideology? Watu kadhaa humu wametoa maoni yao, nami nitatoa maoni yangu chini!(this is the principal question).
Tafiti then Jadili:
Disemba 10, nimependa uchambuzi wako. Kuna element kidogo za ukweli. Soma kitabu cha smelling the coffee kwenye www.lordashcroft.com utajua sababu ya wao kufanya walioyayafanya.
Umemtaja Ndesamburo kuwa ni SG wa CHADEMA. Umekosea, SG ni Dr Slaa.
Is CHADEMA a gentlemen club that no poor can benefit as you have said? Another ideological question, I will discuss!
Mwanasiasa:
Umesema uhusiano wa CHADEMA na conservative sio necessarily ideological. Nakubaliana nawe kiduchu!, Nitajadili.
Umesema pia kwamba trend duniani ni kuwa vyama vina-ideological bankruptcy. No, sikubaliani nawe. Labda Afrika, vyama kama CCM kwa kauli ya Mwanri aliyoitoa bungeni kuwa CCM haina itikadi kinachoendelea ni shughuli tu!. Vyama katika nchi zilizoendelea vina itikadi bado. But I agree with you kwamba kuna overlaps za policies sometimes!.
Conservative UK wameamua kuchukua NHS, na Education ambazo traditionally ni issue za labour lakini angalia watazitazama kwa sura gani na kutumia approach gani. Hivi karibuni watazindua content ya policies zao. Maana mwaka jana walizindua package tu. They differ.
Sweden chama cha conservative cha huko kimechukua dola, kinaitwa moderaterna-wakati wa kampeni walikuwa wanajiita wajamaa wapya; just because waliiteka policy ya afya; but angalia approach yao-tofauti, wao sio pro welfare-wamechochea huduma za afya kupatikana kwa upana zaidi kwa njia tofauti kwa mujibu wa itikadi yao! Ni habari ndefu. Anyway, tatizo la vyama vya Afrika vingi havina itikadi. CHADEMA tumejizatiti kuwa tofauti. Nitajadili.
Nimependa ulivyo-link mtazamo wa CHADEMA kuhusu ubinafsishaji na peoples power-hiyo ndio sera kuendana na itikadi/falsafa sasa!
DrWHO:
Disemba 10: Umezungumizia uhusiano wa tax cut na inflation! This is a sweet ideological debate. Tujadili nikishaweka bayana msimamo wa CHADEMA kiitikadi!
DrWHO:
Disemba 22, umenitaka tena ni clarify kuhusu uhusioano wa CHADEMA na conservative na kunitaka niseme kama Mbowe ni Realist au la. Nitajadili hapa chini. Dhima ya maswali haya umeirejea tena Disemba 23,24 na 26! Hongera kwa kushikilia jambo
Baada ya kutambua michango yao sasa nijadili hoja:
Is Freeman a realist?
Layman Swahili translation tells us realism is uhalisia hence realist is enye uhalisia. But according to philosophy REALISM (from Low ' Lat. realis, appertaining to res, things, as opposed to ideas and imaginations), a philosophical term used in two opposite senses. The older of these is the scholastic doctrine, traceable back to Socrates, that universals have a more "real" existence than things. Universals are, in scholastic language, ante res, in rebus and post res. Behind all numerous types of chairs there is in the mind the ideal chair of which particular chairs are mere copies. In the most extreme form realism denies that anything exists in any sense except universals. It is opposed to nominalism and conceptualism.
For the history of the doctrine, see Scholasticism. Realism in this sense has been called "an assertion of the rights of the subject" (cf. the Protagonean maxim, "Man is the measure of all things"). The modern application of the term is to the opposing doctrine that there is a reality apart from its presentation to consciousness. In this sense it is opposed to idealism, whether the purely subjective or that more comprehensive idealism which makes subject and object mutually interdependent. In its crude form it is known as "Natural" or "Naive" Realism. It appears, however, in more complex forms, e.g. as Ideal Realism (or Real Idealism), which combines epistemological idealism with realism in metaphysics.
Again, Kant distinguishes "empirical" realism, which maintains the existence of things in space independent of consciousness, from "transcendental" realism, which ascribes absolute reality to time and space. (thats why I did not want to give DrWHO a quick answer on this matter!!!!, its a big discourse). Simply, realism is commitment to independent of mind!.
I know the context in which DrWHO posed the question. Basically, idealism vs realism on issues such as Iraq war. Bushs camp is said to be realist. But my answer on Mbowe is far from this context.
I must submit before hand that there is no person on earth that is pure idealist or pure realist. It all depends on circumstance of someone or perception on the other who is judging the person in question!
As far as I know Mbowe is an idealist-he sees what some may not see, and I think majority of visionaries share this attribute. But sometimes he is a realist, especially when it comes to doing things. In any case, usually I dislike discussing personalities but sense DrWHO has pondered this question time and time again I have decided to share these few thoughts.
Wapendwa,
Kama ilivyoada naomba niwatake radhi kwa kuogelea kwenye bahari ya ukimya. Nilikuwa nafuatilia mijadala inavyokwenda japo mara chache ingawa muda wa kutoa nami mawazo yangu ulikuwa kiduchu. Leo nimepita hapa kijiweni japo nidondoe machache.
Mara ya mwisho kuandika nilisema nikija nitaanza na family business, lakini naona DrWHO alinijia juu kuhusu swali lake la kama Mbowe ni realist au la na akasema mengi kuhusu CHADEMA na conservative.
Kwa upande mwingine ligi ya Mkandara na Eric kuhusu majimbo ilikuwa ndefu kweli kweli. Very critical, very informative!. Kwa hiyo nimeona nianzie na masuala haya.
Nikiri pia kwamba nimepitwa muda mrefu kwa hiyo sijasoma neno kwa neno. Nitachangia kwa ujumla na kama kuna suala mahususi litakuwa limesalia basi mnidokeze nalo nilijadili.
Mosi nianze kwa kutambua wote waliochangia hoja ya CHADEMA;REALISM na CONSERVATISM.
DrWHO:
Disemba 8; umehoji kwa nini kwenye website ya CHADEMA hakuna maelezo kuhusu uhusiano wa CHADEMA na conservative na republican-Si kila kitu kinawekwa kwenye tovuti; hivi umeona kwenye website ya taifa uhusiano wa Tanzania na kila nchi ambayo tuna uhusiano nayo? Nadhani hii haikuwa hoja ya muhimu. Cha msingi ni kuwa website imeeleeza mkakati wetu kuhusu mahusiano ya kimataifa nk. Hata hakuna sehemu inayoeleza uhusiano wetu na CUF etc. Unapaswa kujua CHADEMA ina uhusiano na vyama mbalimbali duniani.Nitajadili hili kidogo chini.
Mzee Es:
Disemba 9; umeuliza kwamba Je, Freeman anapata pesa kutoka ile charity ya blair. Jibu, ni hapana. Kuhusu conservative nitajadili chini.
DrWHO:
Disemba 9;Je, CHADEMA inauza nchi kwa waingereza mara ya tatu? Hapana, labda serikali ya CCM inayoendeshwa kwa misaada toka nje huku uingereza ikiwa ni mtoaji namba moja. Zaidi ya asilimia 95 ya bajeti ya CHADEMA inatokana na ruzuku na michango ya wanachama.
Jasusi ;
Disemba 9 : Does it mean CHADEMA will swallow the policies of conservative ? hapana, nitajadili hapa chini.
DrWhO:
Disemba 9; DrWHO; umesema CHADEMA haiko transparent. Hapana, CHADEMA imekuwa ikiweka uhusiano wake na vyama mbalimbali bayana. Tofauti na vyama vinavyoleta wageni wa nchi mbali na kufanya programu kwa siri. Sisi tumefikia mpaka hatua ya kusema wazi kwa vyombo vya habari tumepokea shilingi ngapi toka conservative kwa ajili ya kuendesha mafunzo ya wagombea! Tumeweka wazi matumizi yetu ya kampeni. Mbona vyama vingine viko kimya mpaka leo?
Disemba 9; ndabita alifafanua mambo kadhaa sijui kama DrWHO uliyasoma. Yasome!
Mwanasiasa:
Disemba 9,thanks for clarifaction you sought from DrWHO
Ndabita;
Disemba 9; asante kwa mchango wako wa nyongeza
DrWHO:
Disemba 10; ni kweli CHADEMA ina uhusiano kamili na conservative lakini si kweli kwamba kwa sasa tuna uhusiano kamili na republican. Na ni ukweli ni kuwa hatujawahi kupokea hata senti moja mpaka sasa toka republican. Kwa hiyo chama hiki tukiondoe kabisa kwenye huu mjadala
Ni kweli alama ya torries/conservative sio tena ule mwenge kama wa CCM siku hizi-wana alama ya mti na rangi za kijani kama CCM!
Lakini uchambuzi wako hauna maana sana kwa conservative ya sasa-facts zipo tofauti sana: Soma conservative renewal!
(Lakini huu mjadala sio muhimu, why should we discuss a party in UK? Ni kama kuwa mwanachama wa Manchester na kuacha kushabikia Simba ya jirani kwako)
Umeuliza is the alliance based on ideology? Watu kadhaa humu wametoa maoni yao, nami nitatoa maoni yangu chini!(this is the principal question).
Tafiti then Jadili:
Disemba 10, nimependa uchambuzi wako. Kuna element kidogo za ukweli. Soma kitabu cha smelling the coffee kwenye www.lordashcroft.com utajua sababu ya wao kufanya walioyayafanya.
Umemtaja Ndesamburo kuwa ni SG wa CHADEMA. Umekosea, SG ni Dr Slaa.
Is CHADEMA a gentlemen club that no poor can benefit as you have said? Another ideological question, I will discuss!
Mwanasiasa:
Umesema uhusiano wa CHADEMA na conservative sio necessarily ideological. Nakubaliana nawe kiduchu!, Nitajadili.
Umesema pia kwamba trend duniani ni kuwa vyama vina-ideological bankruptcy. No, sikubaliani nawe. Labda Afrika, vyama kama CCM kwa kauli ya Mwanri aliyoitoa bungeni kuwa CCM haina itikadi kinachoendelea ni shughuli tu!. Vyama katika nchi zilizoendelea vina itikadi bado. But I agree with you kwamba kuna overlaps za policies sometimes!.
Conservative UK wameamua kuchukua NHS, na Education ambazo traditionally ni issue za labour lakini angalia watazitazama kwa sura gani na kutumia approach gani. Hivi karibuni watazindua content ya policies zao. Maana mwaka jana walizindua package tu. They differ.
Sweden chama cha conservative cha huko kimechukua dola, kinaitwa moderaterna-wakati wa kampeni walikuwa wanajiita wajamaa wapya; just because waliiteka policy ya afya; but angalia approach yao-tofauti, wao sio pro welfare-wamechochea huduma za afya kupatikana kwa upana zaidi kwa njia tofauti kwa mujibu wa itikadi yao! Ni habari ndefu. Anyway, tatizo la vyama vya Afrika vingi havina itikadi. CHADEMA tumejizatiti kuwa tofauti. Nitajadili.
Nimependa ulivyo-link mtazamo wa CHADEMA kuhusu ubinafsishaji na peoples power-hiyo ndio sera kuendana na itikadi/falsafa sasa!
DrWHO:
Disemba 10: Umezungumizia uhusiano wa tax cut na inflation! This is a sweet ideological debate. Tujadili nikishaweka bayana msimamo wa CHADEMA kiitikadi!
DrWHO:
Disemba 22, umenitaka tena ni clarify kuhusu uhusioano wa CHADEMA na conservative na kunitaka niseme kama Mbowe ni Realist au la. Nitajadili hapa chini. Dhima ya maswali haya umeirejea tena Disemba 23,24 na 26! Hongera kwa kushikilia jambo
Baada ya kutambua michango yao sasa nijadili hoja:
Is Freeman a realist?
Layman Swahili translation tells us realism is uhalisia hence realist is enye uhalisia. But according to philosophy REALISM (from Low ' Lat. realis, appertaining to res, things, as opposed to ideas and imaginations), a philosophical term used in two opposite senses. The older of these is the scholastic doctrine, traceable back to Socrates, that universals have a more "real" existence than things. Universals are, in scholastic language, ante res, in rebus and post res. Behind all numerous types of chairs there is in the mind the ideal chair of which particular chairs are mere copies. In the most extreme form realism denies that anything exists in any sense except universals. It is opposed to nominalism and conceptualism.
For the history of the doctrine, see Scholasticism. Realism in this sense has been called "an assertion of the rights of the subject" (cf. the Protagonean maxim, "Man is the measure of all things"). The modern application of the term is to the opposing doctrine that there is a reality apart from its presentation to consciousness. In this sense it is opposed to idealism, whether the purely subjective or that more comprehensive idealism which makes subject and object mutually interdependent. In its crude form it is known as "Natural" or "Naive" Realism. It appears, however, in more complex forms, e.g. as Ideal Realism (or Real Idealism), which combines epistemological idealism with realism in metaphysics.
Again, Kant distinguishes "empirical" realism, which maintains the existence of things in space independent of consciousness, from "transcendental" realism, which ascribes absolute reality to time and space. (thats why I did not want to give DrWHO a quick answer on this matter!!!!, its a big discourse). Simply, realism is commitment to independent of mind!.
I know the context in which DrWHO posed the question. Basically, idealism vs realism on issues such as Iraq war. Bushs camp is said to be realist. But my answer on Mbowe is far from this context.
I must submit before hand that there is no person on earth that is pure idealist or pure realist. It all depends on circumstance of someone or perception on the other who is judging the person in question!
As far as I know Mbowe is an idealist-he sees what some may not see, and I think majority of visionaries share this attribute. But sometimes he is a realist, especially when it comes to doing things. In any case, usually I dislike discussing personalities but sense DrWHO has pondered this question time and time again I have decided to share these few thoughts.