Profession Board ni muhimu kwenye profession yoyote ambayo inazingatia maadili na nidhamu ya wataalamu.
Nadhani hoja ilipaswa kuwa makato atabebeshwa nani. Mathalani, kumekuwepo na utaratibu usiorasmi kwa fields za uhasibu na ununuzi waajiri kuwalipia annual fees watumishi wao.
Nafikiri...
Nimecheka sana ulivyotuita wa bara vichogo. Hiv kutokua na kisogo kma wazanzibar wengi (hasa wapemba) ni sifa eeeh!!
Halaf unasemaje SMZ ni nchi huku wakati iko ndani ya SMT.
Kama unataka usafiri salama na uhakika panda Kilimanjaro Express wana Luxuary na Semi Luxuary, haotojutia safari yako.
Mbali na huduma nzuri lakin pia madereva wao wapo makini sana barabarani.
Ndugu mbona ushabik umezid hapo.
Umefikiria kwa kutumia nn uliposema jeshi la polis lifutwe?
Unajua kazi za halali za jeshi la polis kweli!Na je, baada ya Jeshi la Polis kufutwa majukum yake nan atafanya?
Vipi kuhusu hali ya usalama wa raia na mali zao utakavyokuwa.
Mkuu nimeipenda hyo safari yako. Nilitaman isiishe mapema lakin nimeshangaa kuisha mapema.
Nashauri ungeandika kitabu ingesaidia, au uandike makala kma hizo zenye mwendelezo na sura kadhaa. Itasaidia sana watu tunaopenda kujua historia.
Nilipenda sana kujua suala la matumizi ya Lugha katika...
Nakushauri kajiendeleze huko huko Education kuna course kma MAED, MEMA, MASP ni nzuri sana.
Ukihitimu zitakusaidia kukupa promotion kama unapractice Ualimu au any related post mf. exams officer popote (private/govt) kutokana na kuwa na Ubobevu kwenye taaluma ya Education.
Lakin pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.