Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 4,987
- 9,815
SMZ imetangaza Oktoba 18 na 19 kuwa siku za mapumziko ili kusheherekea maulidi
Pia imetangaza siku ya Oktoba 28 kuwa siku ya mapumziko ili Wananchi waweze kupiga kura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maendeleo yatasubiri Sana kwa waswalihina.Kwamba kesho ni sikukuu?
Wacha tuchakate papuchi Hadi zikomeMaendeleo yatasubiri Sana kwa waswalihina.
HahaaaaaaWacha tuchakate papuchi Hadi zikome
Maulidi,inakua usiku Kama alivyozaliwa mtume Muhammad s.a.w siku unayoifuata ni mapumziko,na ni sikukuu ya kitaifa,hiyo Haina shaka.Haka kanchi kadogo lkn hakataki kufanya kazi. Hiyo October 29 awali ilitangazwa kuwa siku ya mapumziko kwasababu gani?
Na kama Maulid ni leo18 kwann kesho pia kanchi hqka kanapumzika?
Huku bara kutakuwa na mapumziko?Maulidi,inakua usiku Kama alivyozaliwa mtume Muhammad s.a.w siku unayoifuata ni mapumziko,na ni sikukuu ya kitaifa,hiyo Haina shaka.
Maendeleo hayana chama mkuu, ila ukichagua chama kingine hatukuletei maji.Haka kanchi kadogo lkn hakataki kufanya kazi. Hiyo October 29 awali ilitangazwa kuwa siku ya mapumziko kwasababu gani?
Na kama Maulid ni leo18 kwann kesho pia kanchi hqka kanapumzika?
Nimecheka sana ulivyotuita wa bara vichogo. Hiv kutokua na kisogo kma wazanzibar wengi (hasa wapemba) ni sifa eeeh!!Msitupangie nyie vichogo sie ni nchi huru hata tukitaka kupumzika mwaka nyie chawakera nini
Zanzibar ni nchiKwani Maulidi inafanyika zanzibar tu? Kama Zanzibar Mapumziko kwanini bara nayo isiwe mapumziko?
Mna uhuru ganiMsitupangie nyie vichogo sie ni nchi huru hata tukitaka kupumzika mwaka nyie chawakera nini
Uhuru wa kuja bara na kununua ardhi,weye unao uhuru huo ukija hukuMna uhuru gani
Zanzibar ni nchi au mkoa?Msitupangie nyie vichogo sie ni nchi huru hata tukitaka kupumzika mwaka nyie chawakera nini