Pastory Kimaryo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 967
- 671
🤔🤔🤔🤔 Massage room?tafuta saibaba,babalao bei 18....... kuna Ac ,massage room na kaunta ya bia
🤔🤔🤔🤔 Massage room?tafuta saibaba,babalao bei 18....... kuna Ac ,massage room na kaunta ya bia
Ndugu, rows zipo 2 tu. Row ya kwanza( upande wa kulia) siti ni moja moja. Row ya pili (upande wa kushoto) siti za watu wawili kukaa pamoja kama ilivyo kwa mabasi mengi. Natumaini hapo utakuwa umeelewa.Kwahiyo jumla kuna rows 3?
Wewe ndio umeongea ukweli sio ushabiki.tarhmeed ipo poa sana
Siku ukipanda tahmeed hutarudia kusema haya maneno tena.Sijaona kama marangu, huduma Bora kila idara
Ndio, nilichomaanisha ni rows za seats sio lazima ziwe separate rowsNdugu, rows zipo 2 tu. Row ya kwanza( upande wa kulia) siti ni moja moja. Row ya pili (upande wa kushoto) siti za watu wawili kukaa pamoja kama ilivyo kwa mabasi mengi. Natumaini hapo utakuwa umeelewa.
Basi Zuri lina port za usb kucharge simu kila siti, lakini ajiandae kufika saa8usiku hilo na lim Safari siyo mabusPanda harambee