Recent content by PRINCEHOPE

  1. PRINCEHOPE

    Mke wangu ananipiga makofi kila ninapochelewa kurudi nyumbani, nifanyaje jamani nimechoka!

    Ah, kuna jamaa yangu yeye akiona mke wake anachelewa akaamua kuanza kulala huko huko anakuja kesho yake asubuhi. Akiulizwa anadai aliogopa kuja kwa kuchelewa, ndiyo maana akaanza kuja asubuhi.
  2. PRINCEHOPE

    Rais Magufuli kwa hili yuko sawa, ITV jirekebisheni

    Mie naona mleta mada, Bashite na wengine wote wanaounga mkono mada hii, siku yao ya kuzaliwa ni tarehe 1 ya April. Halafu shule walipata 7Fs, hovyo kabisa yaan
  3. PRINCEHOPE

    Mafuriko Dar: Watu kadhaa wamekwama kwenye maji Jangwani, wengine wapoteza maisha

    Utasikia, " kwani tuliwaahidi mafuriko? Mie nipo
  4. PRINCEHOPE

    Rais Magufuli: Siwezi kusikiliza madai ya malipo yoyote wakati kuna malipo hewa kila kona

    Mgomo wa madaktari, matokeo yake yanaonekana papo kwa papo, waalimu utaona akina Bashite wanazaliwa kuanzia std 4, std 7, na form 4 and 6, vyuoni ubashite utaambukizwa tu. Kuna sehemu za kuleta mizaha lakini siyo elimu. Mie naona Tanzania tutakuwa tunasindikiza wenzetu katika elimu na...
  5. PRINCEHOPE

    TBC mnatia aibu sana

    Mi naona kuna watu binafsi ni matajiri kuliko serikali. Ya TBC inadhihirisha, tunashindwa na Azam?
  6. PRINCEHOPE

    Siri ya uhakiki wa watumishi hewa yabainika, serikali yashindwa kubaini wenye vyeti feki

    Mleta mada ungeuliza waliopo jirani na wenye vyeti feki usingeleta lawama na kubeza zoezi hili. Waliobainika kuwa na vyeti feki au kutumia nakala za vyeti vya watu wengine ni wale walioajiriwa kabla ya kuanzishwa kwa sekretarieti ya ajira, labda kama wengine walipatikana baada ya sekretarieti...
  7. PRINCEHOPE

    Waliokoka naombeni muongozo wa kuacha dhambi kabisa

    Hongera sana kwa uamuzi wako, mpaka hapo tayari umeanza kusikia sauti ya Mungu. Barikiwa kwa hilo, mpaka kuifikia toba ya kweli ni lazima utambue kuwa ulichofanya au unachofanya ni dhambi, hiyo hatua umeifanya, narudia tena kukupa hongera. Cha pili uijutie kwamba umetenda dhambi, unaichukia na...
  8. PRINCEHOPE

    Janga jipya: Zanzibar yaishiwa Mchanga, sasa kuagizwa nje ya nchi

    Nimeshangazwa kuadimika kwa mchanga huko Zanzibar, haya ni maajabu. Ni laana au? Hivi wengine wanalalamika kuadimika kwa mvua, chakula, sukari, mwenyewe udongo. Haya majanga mie nadhani ni........ Kha nchi yetu haiishi vituko.
  9. PRINCEHOPE

    Kamishna wa TRA kwa kujiamini alituambia mlaji hatakatwa VAT muda wa maongezi

    Sheria yenyewe ya VAT inaweka wazi kuwa consumer ni mlipaji, na siyo service provider au producer. Tulikuwa tunasubiri tu muda uongee, maana tungeongea kipindi kile wangesema sisi wachochezi.
  10. PRINCEHOPE

    Basi la Kampuni ya Vitu Line lapata ajali Iringa

    Hili basi lilipigwa karantini kuingia mjini Iringa. Alichokifanya akaenda kubadilisha board, wanaliangalia tu, linadunda, vyombo husika vijitatmini kama vinatosha kuwatumikia wananchi wa Tanzania
  11. PRINCEHOPE

    Basi la Kampuni ya Vitu Line lapata ajali Iringa

    Majonzi Kilolo, kuondokewa na ndugu zao. Ndugu zao Mungu awape uvumilivu na ujasiri mkuu
  12. PRINCEHOPE

    Kuna kitu wanatafuta kwako: Uwe mwangalifu kwenye mitandao

    Hii kitu kwa kweli roho yangu imekuwa nzito ku- respond like sijui share, n.k. Ahsante mleta Uzi Barikiwa sana
  13. PRINCEHOPE

    Rais alimaanisha nini aliposema haya?

    Namkumbuka Mrisho Mpoto alipoulizwa kuwa mbona jumbe nyingi za mashairi yake ni ngumu, alijibu " ukiona huelewi ujue siyo Ujumbe wako,usiumize kichwa kuutafakari"
  14. PRINCEHOPE

    Nguo ya kuazima haisitiri matako"Vyeti vya kununua, au feki"

    Muuzaji wa cheti ni mwanaume, mnunuzi ni mwanamke, na ndiyo majina yetu ya kibantu" Bahati, Shukuru, Ahsante, Matatizo " na wala siyo ya kutunga. Ila silazimishi mtu aamini, kwa watu wa Fasihi wanaangalia msisitizo wa mwandishi, na msisitizo wangu siyo jinsia, Bali ni kushawishi watu wasome...
Back
Top Bottom