kiatu kipya
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 3,269
- 1,979
Kule kuna kina Mabula na Shija wengi kuliko hata BariadiZanzibar iko karibu na shinyanga, kama alisema Sadam hussein ni rais wa Libya ije iwe hiyo.
Kule kuna kina Mabula na Shija wengi kuliko hata BariadiZanzibar iko karibu na shinyanga, kama alisema Sadam hussein ni rais wa Libya ije iwe hiyo.
Nimetoa ushauri kwani hilo ndio jambo la kwanza alilosema lenye utataMKUU...lengo la huu Uzi sio kujadili elimu yake..lengo ni kupata maana halisi ya maneno yake hayo.
Hata yeye hajui alilolisema na anaweza kukana na kukuita mchocheziAkiwa Shinyanga tarehe 12/01/2017 mh.Raisi alisema:
"Tukitengeneza barabara za lami,watu mtaweza kutengeneza matikiti maji na kuyapeleka kuyauza Zanzibar".
Lengo la Uzi huu ni kuomba wale waliomuelewa mh.kuhusu haya maneno machache,alikuwa anamaanisha nini??
Ahsanteni.
Alafu nikuletee mrejesho au?Sawa MKUU..lakini naomba nawe uulizie huko wengine walivyomuelewa.
Labda uwe si mtaalam wa hotuba. Hotuba huchambuliwa kwa ujumla wake, sentensi kwa sentensi, neno kwa neno na body language ya mzungumzaji. Kama huwa unaangalia na kusikiliza news channels kama CNN au BBC ungeelewa dhima ya mtoa uzi. Hotuba ya rais siyo sawa na hotuba ya kiongozi mwingine wa kawaida katika nchi. Obama akiongea unaweza kuta hotuba yake inachambuliwa siku nzima au wiki nzima wakiiangalia kwa ujumla wake, wakichambua sentensi na maneno aliyotumia kuwa alimaanisha nini na kwanini aliyatumia hayo na kisha wanalinganisha au kuhusisha na body language kama kweli alichokisema ndio hasa alichokusudia au alikuwa serious.Akili yako imeamua kuchagua hayo maneno tu, ila ukisikiliza hotuba yote utaelewa alikuwa anamaanisha nini.
MKUU jitahidi kuulizia na huko mtaani ili tujaribu kupata mawazo mbadala juu ya hilimaana yake ni kwambwa mpandishe bei za vyakula wakati wa shida..ili ng'ombe watatu mbadilishe kwa debe la mahindi.
Kaka sjui Dada huwa nafatilia coment zako yani upo kama sigara Kali kokote unaiwasha same times unaponda same times unasifu upo upo tuAkili yako imeamua kuchagua hayo maneno tu, ila ukisikiliza hotuba yote utaelewa alikuwa anamaanisha nini.
Kwani hayo maneno aliyoyasema alimaanisha nini?Akili yako imeamua kuchagua hayo maneno tu, ila ukisikiliza hotuba yote utaelewa alikuwa anamaanisha nini.
Alimaanisha kuwa barabara zikiwa nzuri wanaweza kufanya BIASHARA za Tikiti maji ambazo zingine ZINAOZEA shambani kwa kukosa USAFIRI.Akiwa Shinyanga tarehe 12/01/2017 mh.Raisi alisema:
"Tukitengeneza barabara za lami,watu mtaweza kutengeneza matikiti maji na kuyapeleka kuyauza Zanzibar".
Lengo la Uzi huu ni kuomba wale waliomuelewa mh.kuhusu haya maneno machache,alikuwa anamaanisha nini??
Ahsanteni.
Asante kwa ufafanuzi MKUU..Alimaanisha kuwa barabara zikiwa nzuri wanaweza kufanya BIASHARA za Tikiti maji ambazo zingine ZINAOZEA shambani kwa kukosa USAFIRI.
Hivyo barabara zikiwa nzuri wanaweza hata KUUZA mazao yao MPAKA Zanzibar.
Kwa maneno mengine alikuwa anawapa HAMASA ya kufanya BIASHARA. SIDHANI kama alizungumza akiwa na hiana yeyote.
Namkumbuka Mrisho Mpoto alipoulizwa kuwa mbona jumbe nyingi za mashairi yake ni ngumu, alijibu " ukiona huelewi ujue siyo Ujumbe wako,usiumize kichwa kuutafakari"Ukimsikiliza mtu kwa nia ya kumkosoa hutomuelewa kamwe muwe mnamsikiliza kwa nia njema mtamuelewa tu
Inaweza pia kuwa ndio maana yake..ila tusichoke kuuliza tupate majibu tofautitofauti..Itakuwa ni rahisi kusafiri popote bila kupoteza muda... Hiyo ndiyo maana yake..
Lami utaweka baharini acha kutetea ujinga jografia ya Znz unaijua weweAlimaanisha kukiwa na lami usafirishaji utakuwa rahisi yanaweza kufika Zanzibar same day.