Sababu ni kwamba hautaki kumpa tunda. Ni mmoja kati ya 1000000 ambaye anataka kuuziwa mbuzi kwenye gunia. Apo ukute wala sio bikra ndio inakua nonsense kabisa [emoji23][emoji23]
Nipo Arusha, niko kwenye jengo la Mega Complex nimehisi kama jengo linatetemeka kwa mbali nikahisi nina matatizo, ila mwenzangu aliye karibu akahisi kama kuna tetemeko. It happened between 10- 15 minutes ago.
Kwa sababu ya akili finyu basi wacha akajichimbie kaburi. Ni faida kwetu Magufuli kumpigia kampeni Raila Odinga then ashindwe uchaguzi. Ikifika 2020, Uhuru haji Tanzania kupigia kampeni UKAWA, ila anajua atasaidia kwa namna gani.
Izo picha ulizoweza na chini yake ukaandika "mwonekano wa kiwanja kipya kitakachojengwa Dodoma" sio za kweli. Huo ni uwanja wa Olympic wa Ujerumani.
Acheni kuwalisha wasiojua matango pori. Refer hiyo link apo chini, huo uwanja ulijengwa toka 1936...
Redirect Notice
Ivi, ajali ikitokea kwenye kazi isiyo rasmi utatafuta mbinu za kupoteza ushahidi then at the end of the day ufanye plastic surgery kabisa kuondoa any trace of evidence, au utakubali matokeo ubaki na kovu? Labda tuanzie apo then tutaelewana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.