Uchochezi?

Uchochezi?

Ngoja nije na vinywaji tugonge mdudu
b567f318378d05a8eb1af9aabcd009a5.jpg
 
Haihitaji uwe na akili kama Isaac Newton ndo ujuwe ulichokusudia bali ni akili ndogo tu kama ya mb rema.Ondoa pandiko lako tu
Aisee basi nikadhani utajitolea mfano mweny
 
I really dislike (let me be polite) mtu anaye-assume kila mwenye jina la ki-islam ni muislam. or V/V. What makes you think Mahmoud ni muislam? unajua kuna watu wamelelewa na waislamu kwa sababu ya uyatima au Changamoto nyinginezo za maisha..wakaamua ku-assume the so called majina ya ki-slamu yet they got nothing to do with that faith? same kwa waKristo? Agustino Ramadhani (former bishop of Zanzibar rings?)..wako wengi sana....tuu

Utaitendea haki nafsi yako na wengine kama utaelimika ujue kwamba dini na majina ya watu havina uhusiano. Ni mapokeo tuu. Katika familia yangu...... Mzee ni Msabato mzuri tuu. Mimi ni RC-(tena mseminary), dada anayenifuata ni Muislamu wa swala tano.......nk. Yet upendo upo wa kutosha tuu. Watu kama nyinyi ndo mnatuletea matatizo na mifarakano kwenye familia na jamii zetu kwa sababu ya assumptions zisizo na mashiko.

Masanja
Umeongea kweli
 
Kama watu wa dini zote wangeshikilia na kufuata kwa dhati mafundisho ya dini zao, magereza yangekua na uhaba wa wafungwa.

Si wakristo wala waislam wanaoweza kukwepa uvunjifu wa maadili. Mabaa, uasherati, ujambazi na ukatili unafanywa na wote wakristo na waislam.
 
Mshana Jr wewe ndo mchochezi una hakika kuwa jamaa ni Muslim
Nathani tatizo hapo sio dini au dhehebu la mtu, bali matumizi ya jina la imani fulani kutangaza biashara ni kinyume na imani ya watu wanaotumia jina hilo.
 
Back
Top Bottom