Eti magari manne?? Jana huo msafara wa Kenyata umesababisha wamama wa watu wachelewe nyumbani ...hapakuwa na gari la kwenda Tengeru,Ngulelo na kuendelea ..barabara ya kwenda kijenge na Moshono zote zimefungwa. Nikiwa kama muhanga wa tukio la jana sioni kama ana sifa zote hizi alizotajiwa kwa...
Namshukuru Mungu Mimi na Dada yangu tulilelewa na mama kwa shida Ila hatukupungukiwa kitu chochote. Bahati nzuri mume mtarajiwa kalelewa na mama tu kama Mimi ...ooh anakila sifa njema ya mume mzuri zaidi ya yote anaupendo ule wa kweli na anajali sana. Anajituma na ana ujasiri sana katika...
karibu mkuu
ya pili inahitaji Venn diagram
data n(AπB) =5
n(AUB)=16
n( BπA')=8
n(AuB)'=4
from n(A)+n(B)- n(AnB)=n(AuB)
x+13-5=16
X=8 so nA = 3 by taking 8-5
nB=8 n(AnB')=3 n(A'nB')=4 n(A'nB)=8
Mi naona mkuu una ndoto nzuri lakini usikurupuke tu. kaa kwenye ualimu kwanza huku unajifunza siasa na anza na ngazi ndogo na baadaye utafikia ndoto yako. Usiache kazi ya ualimu wakati hujajipanga kisiasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.