Recent content by popobaawa

  1. P

    iPad min inauzwa posta-dar

    Your cell phone pls. Mine is 255773889888
  2. P

    VIDEO: Arab Massacre in Zanzibar

    Hakuna waafrika walouliwa na waarabu huko Zanzibar ndio maana huwezi kupata video yake. Kwa mujibu wa takwimu za CIA, kati ya watu 15,000 hadi 20,000 waliuwawa kwa kuchinjwa, kutiwa moto, kuzamishwa baharini na kupigwa risasi katika wiki za mwanzo za mapinduzi ya Zanzibar. Ukitaka maelezo...
  3. P

    Tunaichukia CCM but CHADEMA wakishachukua nchi tutalia na kusaga meno...

    Kama CCM utawalinganisha na fisi, Chadema ni sawa na chatu. Wakipata utawala, ndipo ufisadi utakapohalalishwa. Tuombe Mungu apokee dua ya Wassira kuwa Cdm isambaratike ndani ya miaka miwili, ili aliepushe taifa letu na majizi mengine
  4. P

    TANESCO yaisamehe Zanzibar deni la bilioni 50/-

    Walichokuwa wanakidai Zanzibar kina uhalali, na wala hawajafanyiwa hisani. Walikataa kupandishiwa bei ya umeme kwa hoja ya kwamba ongezeko hill limechangiwa zaidi na uzembe, ufisadi na kutokuwajibika kulikofanywa na Tanesco na wadau wake, na si kutokana na mfumuko wa bei. Niliwahi kumsikia...
  5. P

    Hivi ni shukrani ya spika kwa mbunge kuchangia hoja?

    Napenda kumshukuru mtoa mada, nawashukuru wale wote waliochangia, na nakushukuruni kwa kunishukuru
  6. P

    Jenereta: Fahamu Aina, Matumizi Sahihi, Matengenezo na Namna ya Utunzaji wake

    U can visit me physically for a free consultation. We are available at Nkrumah Street, next to Total Petroleum HQ. Company name SNTECH.
  7. P

    Mbuzi wa Kafara

    Ni sahihi mkuu... Afadhali kipindi cha JK maisha yana unafuu kuliko kipindi cha JKN. Zama zile tulikuwa tunapanga foleni ya kupata kipande cha mkate. JK amerithi maoza ya watangulizi wake
  8. P

    Jumuiya ya Uamsho ya Kiislamu wakusanya saini ya kutaka kura ya maoni juu ya Muungano

    Mugabe je nae ni muislamu? Wattara? Kibaki? waliokuwa makaburu wa Afrika Kusini nao waislamu? waliochinjana makanisani Rwanda ni wa dhehebu gani? Hitler? jirani zetu wa Congo wamekuwa wakipigana wenyewe kwa wenyewe kwa zaidi ya miaka ishirini sasa, nao ni waislamu? waasi wa LRA Uganda nao...
  9. P

    Wakazi wa Dar Es Salaam wanakwamisha Mageuzi Tanzania.

    Hiyo mikoa inayoshabikia siasa uoni wao bado ni mdogo. Wengi wao ni watu amabao hawajawahi kufika hata Dar, sikwambii kutoka nje ya Afrika. Maendeleo hawajui ni nini na wala hawajawahi kuishi nayo. Kitu ambacho hukielewi bali unakisikia tu, sio rahisi kuweza kujua yupi anaweza kukileta. Ni...
  10. P

    Wakazi wa Dar Es Salaam wanakwamisha Mageuzi Tanzania.

    Wakazi wa Dar wanaelewa vizuri kuwa wanasiasa ni sawa na wafanyabiashara tu, wote wanatafuta pesa, umaarufu na sifa. Tofauti ni kuwa mfanyabiashara anauza bidhaa na huduma, mwanasiasa anauza maneno, ahadi na uongo. Tumekataa kuwa wateja wa wanasiasa. Tofauti ya CCM, Chadema, CUF, TLP, UDP n.k...
  11. P

    Hizi tarrif za Airtel zikoje? Naomba ufafanuzi tafadhali.

    Mimi nilichagua kifurushi cha siku moja na nikapata 50MB
  12. P

    Nani anasema nyumba za shirika la nyumba ni za watu wa kima cha chini?

    ni kwa wenye fedha taslim.... ukichukua mkopo wa sh mil 200 benki, baada ya miaka mitano utakuwa umekuwa na kufikia milioni 500, kwa riba ya asilimia 20
  13. P

    Sera ya Chadema ya "Utawala wa Majimbo"

    Utawala wa majimbo ndio nini?
  14. P

    IPad 32GB

    Ina 3G+WiFi?
Back
Top Bottom