Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 635
Najua Airtel mnapita pita humu, naomba ufafanuzi wa malipo kwa mfumo wa Time Based Bundle.
Kwa mfano, ikiwa nitaweka bundle ya Tsh 10000/= nitatumia unlimited au ikifikia muda fulani itaanza kukata kwa rate za kawaida?
Ufafanuzi tafadhali....
Kwa mfano, ikiwa nitaweka bundle ya Tsh 10000/= nitatumia unlimited au ikifikia muda fulani itaanza kukata kwa rate za kawaida?
Ufafanuzi tafadhali....