Recent content by Pmonja

  1. Pmonja

    Mahari shilingi milioni 5?

    Kawaida kwa zamani,ila karne hii mahari kubwa hivyo,duuuh vidume tugonge tu ili kupata watoto
  2. Pmonja

    Njoo unione live( second frm left)

    Nimecheka mpaka quirk quirky
  3. Pmonja

    Kupona Ukimwi

    Wewe unapatikana mkoa gani hapa tz,maana jamaa yangu yuko hoi,nimuelekeze in real akufuate ulipo
  4. Pmonja

    Kupona Ukimwi

    Ufanisi MTU anajifunzia kazini,ila hawa wenye fake vyeti wengi wao ni maboss na huwa hawapendi vijina tujifunze kazini ili tuwe tunaufanisi,mfano akisikia semina,workshop training,n.k zenye kutoa mafunzi kazini,boss ataenda wakati yeye alishapata mafunzo mengi km hayo mpaka amekuwa boss hii ni...
  5. Pmonja

    Zijue faida za Mmea wa Mlonge, Jitibu magonjwa 300 kwa kutumia mlonge

    Kwa lugha ya kiingereza inaitwaje jmn mnisaidie hilo?
  6. Pmonja

    Hongera Makalla kwa ulipofika na suala la walimu Mbeya

    Hiyo ripoti umelete nusunusu,weka taarifa hiyo ya uchunguzi wa mkuu wa mkoa Mhe.wa Mbeya
  7. Pmonja

    KWA WENYEJI WA SUA: Inabidi kulipa sh. ngapi kufanya registration?

    Kachukue join instruction form ya SUA utapata pa kuanzia kunakila kitu,lkn kama umechaguliwa pia umekuwa siyo kuanzia utapeli kwa wazazi,wapelekee full fees structure ya SUA,JPM kaabana
  8. Pmonja

    Natafuta kazi ya kujitolea GIS and LAND SURVEYING

    Hizo zingine zinaweza zikawa ofisi training maana software huwa zina change kutoka nyakati,Hayo ArcMap,ArcGIS and e.t.c,zipo most currently softwares za drawings kulingana na Themes unayohitaji
  9. Pmonja

    Msikiti wa posta na ubaguzi??

    We msikitini,je maofisini husemi makabila,na senior kazini,lkn MTU hawezi na anaharibu kazi
  10. Pmonja

    Nimekatwa 12, 000 kwenye mshahara

    Umechangia maafa ya tetemeko la aridhi
  11. Pmonja

    Nasumbuliwa na tumbo,

    Msaada jmn nimetumia much drugs mpaka nadhani sumu za hizi drugs zimekuwa nyingi mwilini
  12. Pmonja

    Nasumbuliwa na tumbo,

    Mm linajaa gesi na nikienda choo ninaharisha na chakula no mmengenyo kbsa kinatoka km nivyokula
  13. Pmonja

    Baada ya kubanwa sana hizi ndizo njia mpya za Usaliti wazifanyayo Wanawake wa Maofisini

    Ngoja ni vute kile kipisi kilichobaki,ili niwe mwepesi
  14. Pmonja

    Kumbe Jakaya Kikwete ni kiongozi mzuri sana, haya hakuyafanya pengine ana sababu za msingi sana!

    Ngoja nikamalizie kichungi changu cha nyota pale uwanja wa ilolo,nikirudi nitapata cha kuchangia
  15. Pmonja

    Kuangalia live TV za Tanzania

    4G phone au line ya simu
Back
Top Bottom