Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,851
Mwanamke sio asset ni liability. Uwezi kutoa hela zote hizo.
Mkuu huyu ukishamlipia mahari akija hakuna uzazi wa mpango anafyatua tu nakufyatua tu unamuambia akuzalie watoto 15 akihoji unamuambia kwani kuna balance ya mahari sijalipa?Milioni 5?Duuuuh!naona kama kukomoana jamani!Yani zote hizo ni mahari au mtaji wa biashara?
Kama ni mpaka wachangishane ndugu maana yake huyo mtu ni masikini na hyo 5M yake yaweza fanyika mtaji na mwanamke kama hataki kuja kwa mahali ya laki tano akae kwao,aache uoga,siku hzi hakuna mahali za kukomeshana kwa mwanamke mwenye wazazi wanaojua maisha yakojeLeo nimemsikia mtu mmoja akisema kuwa ndugu yao anaejiandaa kuoa, amepangiwa mahari ya shilingi milioni tano. Na kwamba ndugu wameamua kuchangishana ili walipe mahari hiyo kumsaidia ndugu yao.
Kilichonifanya niilete mada hii hapa kwa majadiliano ni kuhusu kiwango hicho cha mahari, ambacho kwangu nakiona ni kikubwa sana. Je, hiyo si ni sawa na kumfanya binti kama bidhaa kweli.