Nadhan wewe si mtumish wa umma ndio maana hujui hata unacho ongea ,muwe mnafanya tafiti kwanza kabla ya kujifanya wajuaji, salary slip za watumish wa umma kwa hii serikali yetu huwa zinatoka miezi minne hadi mitano wakati mwingine baada ya mshahara kutoka ,sasa hiyo salary slip unayo mshauri mwenzetu sijui ni ya mwezi wa ngapi maana kwa maelezo yake hayo makato kakatwa mshahara huu wa mwezi wa tisa,kama hujui jambo usijifanye kujua na kukejeli kwa maana wewe ndio utaonekana zero.Sasa kama mwalim mzima,unashindwa kujua kwanini unakatwa.Hao wanafunzi assignments mnazowapa inakuwaje kweli.
Kwenye slip si inaonyesha?maana makato yoyote kweye salary lazima yaonyeshe ni makato ya nini.
Fuailia,acha kulalamika Mwalim unaenitia mashaka na taaluma.
Kiongozi hilo ni tairi lililoisha upepo ujuaji mwingi akili kizibo msamehe tu.Nadhan wewe si mtumish wa umma ndio maana hujui hata unacho ongea ,muwe mnafanya tafiti kwanza kabla ya kujifanya wajuaji, salary slip za watumish wa umma kwa hii serikali yetu huwa zinatoka miezi minne hadi mitano wakati mwingine baada ya mshahara kutoka ,sasa hiyo salary slip unayo mshauri mwenzetu sijui ni ya mwezi wa ngapi maana kwa maelezo yake hayo makato kakatwa mshahara huu wa mwezi wa tisa,kama hujui jambo usijifanye kujua na kukejeli kwa maana wewe ndio utaonekana zero.
Yawezekana unadaiwa ama ni michango ya mwenge na madawatiKiukwel nimesikitika sana baada ya kukuta mshahara wangu umepungua ukizingatia sisi walimu mishahara midogo makato mengi jumlisha mikopo yaani ni shida tupu. Hacha tuisome namba
Boss, slips za mshahara huwa zinatufikia miez miwili au mi3 baadae, kwa mfano mpk sasa halmashauri nyingi hatujapata slips za mwezi wa 6!!! Kwahyo ni vigum kwa mwalimu hucka kujua hiyo pesa alokatwa ni ya nini!!!Sasa kama mwalim mzima,unashindwa kujua kwanini unakatwa.Hao wanafunzi assignments mnazowapa inakuwaje kweli.
Kwenye slip si inaonyesha?maana makato yoyote kweye salary lazima yaonyeshe ni makato ya nini.
Fuailia,acha kulalamika Mwalim unaenitia mashaka na taaluma.
Hata kama, huwa haikatwi na HAZINA.Yawezekana unadaiwa ama ni michango ya mwenge na madawati
Huo sio uzalendo ni ufala unadhulumiwa wazi usilalamike na kuupa ujinga huo sifa ya uzalendoWeee kuwa mzalendo mtumishi Wa umma unalalamika lalamika nitatizo kubwa sana
Hahahaha who knowz you??Wamewawekea increment yoyote?
What do you mean?Hahahaha who knowz you??
Slip ni baada ya miezi 3 mara nyingine unaweza usipate kabisaSasa kama mwalim mzima,unashindwa kujua kwanini unakatwa.Hao wanafunzi assignments mnazowapa inakuwaje kweli.
Kwenye slip si inaonyesha?maana makato yoyote kweye salary lazima yaonyeshe ni makato ya nini.
Fuailia,acha kulalamika Mwalim unaenitia mashaka na taaluma.
Mkuu kwa mtizamo wangu... walimu wasingekatwa mkopo maana najua kwa mshahara wao itakuwa majanga.... na TzHata my wife wangu kakatwa...nafkiria nimpe mtaji auze tu samaki maana walimu hawapewi uthamani hii nchi,badala ya increment wanakuta decrement??!? Baba Lowassa alisema angeanza na walimu,elimu mpaka chuo burree!! Asee nimeona ukame/dhiki kuu;
- Kupanda madaraja walimu hamjapanda
- Pesa ya likizo ya mwezi wa sita hadi leo holaa na ikitoka ni kiduchu.
- Walimu wanapanda madaraja baada ya miaka 4 mpaka 5,badala ya 3.
- Elimu bure mitihani inaandikwa ubaoni badala ya kuchapishwa.
- Elimu bure walimu hawapati hata chai yamkono 1 mpaka saa tisa labda wajibebee.
- walimu wa sayansi wanakatwa pesa nyingi zaidi na bodi ya mikopo kwakuwa kozi za sayansi ni Ghali na bodi iliwakopesha 100%. Kamshahara kanabaki kiduchu na kazi/vipindi nivingi bora wangechange fani.
Namengine meeengi nachoka hata kuandika. Ivi nchi gani iliendelea Tena kiviwanda bila kuwekeza vema na kuiboresha Elimu?? Natamani serikali sikivu!!
Mchango wa maafa bukoba huoKiukwel nimesikitika sana baada ya kukuta mshahara wangu umepungua ukizingatia sisi walimu mishahara midogo makato mengi jumlisha mikopo yaani ni shida tupu. Hacha tuisome namba