si kweli hata kidogo kwa hayo usemayo juu ya bukoba,
kwa wachaga nimefika pia ndio kuna maendeleo, hivi umetembelea vijijini? Bukoba hawezei kulia njaa hata siku moja, huwezi linganisha kilimo cha wachaga na wahaya, wachaga walisusia kahawa, na ndizi hazilimwi kwa wingi... mbao ndio kwa...