Hawa nshomile wanajidai tu hamna lolote bukoba.sikuamini macho yangu nilipofika bukoba na kujionea.mjini bkb ovyo ovyo.pamoja na yote hawana customer care nzuri.jengo ni moja tu la nssf.bkb ovyooo waone hivyo hivyo na makeke yao huku mjini.wenzao wachaga wamekamata kila mji hapa tz na kwao usiseme wako juu mbaya.nawafagilia sana chagas.bigup sana.kama skul wamo,bizinez namba moja.haya mapompus kibao mjini