Recent content by paparazi

  1. P

    Breaking news:Yanga kukipiga na Black Leopard J,mosi!

    Acha wivu wa kijinga mtoto wa kiume mimi ni azam damu lakini mwaka huu yanga wamejipanga kila idara
  2. P

    Jinsi ya kumtongoza demu aliyekuzudi umri

    Samahani mkuu wewe ni mtaalamu wa saikolojia?
  3. P

    Waislam wenzangu tuwapende wakristo

    hahaaa mtu aliyekojolewa nyuma na mapdri anakuwa na matatizo kweli.Hamna mtu anayeweza kuiangamiza katika dunia hii wangapi wameshindwa,makafiri acheni dhulma
  4. P

    Natafuta kiwanja maeneo ya sahare na donge(tanga)

    Habari zetu wanajamvi natafuta kiwanja maeneo husika hapo juu na maeneo yanayoendana na hayo katika mkoa wa tanga,nitumiye private message kama unacho.Siku njema na weekend njema wakuu NOTE:sitaki middleman
  5. P

    USA na mkakati wa kuivamia Iran

    West alliances wanafear nguvu inayozidi kukuwa ya kitechonology kwa taifa la iran...unajua 95% ya silaha za kijeshi ndani ya iran zinatengenezwa iran...jamaa wapo juu siyo taifa lala tena wachapa kazi...time will tell
  6. P

    Cbe dsm campus go wireless

    colloge of business education dar es salaam campus wamefunga wireless internet sasa hivi wanamalizia matengenezo madogo madogo kukamilisha hadi sasa teyari substation zimefugwa. Lakini sijui wanachukuwa kwa host gani?
  7. P

    Dar es salaam: Tandale kwa mtogole na jaramba la sasambua sasambua

    hapo kuna mahakama ya simu maramoja unaibiwa simu mitaa hiyo
  8. P

    Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

    kaka nimeona but nimechoka na post za freemasonry kila mwezi basi kuna mtu ana post tena zinafanana.sorry bro
  9. P

    TANESCO in bed with Quality Group

    hehee jamani wabongo wezangu tatizo liko wapi mtu kupewa tender tena halali la kushangaza liko wapi? au chuki binafsi
  10. P

    Jerry Muro: From ITV to TBC1

    yupo TBC1.
  11. P

    blackberry

    blackberry zinauzwa ni 8100 na 8800 bei ipo poa contact 0788601211
  12. P

    Hodi hodi

    hello jamani vipi hali zenu wadau
Back
Top Bottom