hahaaa mtu aliyekojolewa nyuma na mapdri anakuwa na matatizo kweli.Hamna mtu anayeweza kuiangamiza katika dunia hii wangapi wameshindwa,makafiri acheni dhulma
Habari zetu wanajamvi natafuta kiwanja maeneo husika hapo juu na maeneo yanayoendana na hayo katika mkoa wa tanga,nitumiye private message kama unacho.Siku njema na weekend njema wakuu
NOTE:sitaki middleman
West alliances wanafear nguvu inayozidi kukuwa ya kitechonology kwa taifa la iran...unajua 95% ya silaha za kijeshi ndani ya iran zinatengenezwa iran...jamaa wapo juu siyo taifa lala tena wachapa kazi...time will tell
colloge of business education dar es salaam campus wamefunga wireless internet sasa hivi wanamalizia matengenezo madogo madogo kukamilisha hadi sasa teyari substation zimefugwa. Lakini sijui wanachukuwa kwa host gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.