Recent content by Papa-oti

  1. P

    JamiiForums Tanzania Ushauri wako utanisaidia kwa hili

    Ni wazo lako kwa kile ukipendacho. ila nakushauri uendelee na hyo fani uliyosotea kwa muda mrefu, hata hivyo bado una umri mdogo kupoteza muda kurudi nyuma...
  2. P

    JamiiForums Tanzania Lowassa akiwa Waziri Mkuu, alikata fedha za maendeleo Mbeya

    Mkuu , Acha maneno ya kugawanya Wa Tz. Kwani wengine hamuwaoni walojaza ndugu zao sehemu mbalimbali? Kwann useme LOWASA? Keep thinking and find out the truth and NOT that u said
  3. P

    JamiiForums Tanzania Mwongozo utumishi nisaidieni sielewi

    inackitisha, kwa hyo mtumishi anaishije mwaka mzima bila kupata mshahara?? nenda kashtaki la sivyo watajiuliza unapata wapi matumizi ya kujikimu muda wote huo
  4. P

    JamiiForums Tanzania Azam TV: The most boring customer service in Tanzania

    Mnaongea sana bila kufikiri mada imekujaje, Customer care maana yake nn? na Customer service maana yake nini?? Hata kama mtu anapiga simu na kuuliza swali la aina yoyote ni wajibu wako kumsikiliza na kumshauri. Mimi Azam wamenikera pia kwa suala la kupoke simu. mimi sipo dar kama Kaka Jambazi...
  5. P

    JamiiForums Tanzania Huyu ndo kiongozi wa kikundi cha kigaidi kinachoua polisi na kuiba silaha kwenye vituo nchini

    Nyie mmelogwa na udini. sisi wapagani tunawaangalia tu. na Tanzania yetu itakua salama na Amani itakua pale pale. nyie mlioadhiriwa na udini mrudi kwenu Stupid! fuatilia historia ya Tz vema. hatuwahitaji ninyi wadinidini. Tz ni ya watu wa amani wasiofungamana na dini yoyote wala kabila. Hao...
  6. P

    JamiiForums Tanzania Ak47?

    Al-shabaab..... anafanana na yule wa westgate
  7. P

    JamiiForums Tanzania Ya Kagasheki na Nundu tunaelekea wapi?

    Sh'ka mooni..... mbona kimya???
  8. P

    JamiiForums Tanzania Banza Stone ana hali mbaya

    Pole sana Banza Stone. ninachofahamu ni kuwa leo atalala Mbalizi then asubuhi atawahishwa kwenye Ndege uwanja wa Songwe arudi Dar. Masuala ya tiketi ya bus imetupiliwa mbali na rafiki yake kipenzi alieshiriki BSS 2008/2009. Rahim Nzunda
  9. P

    JamiiForums Tanzania Ya Kagasheki na Nundu tunaelekea wapi?

    Hela za wazungu zilishafika na ndo maana Mh. Lembeli alisema na watumishi wa KINAPA mwaka juzi mwezi wa kumi na mbili kua pesa ilishatengwa hivyo kama hamjalipwa ni kosa coz pesa zilikua tayari zipo. i wonder why they did pay those guys hyo pesa imepitishwa wapi?? Njoo KHAGASHEKI utupe hela yetu...
  10. P

    JamiiForums Tanzania Ya Kagasheki na Nundu tunaelekea wapi?

    ww ndo umechanganyikiwa.. unga mkono hoja au ukatae na cyo kusema hivyo. nakushangaa sana
  11. P

    JamiiForums Tanzania Ya Kagasheki na Nundu tunaelekea wapi?

    Kagasheki tafadhali rudi kazini uwalipe waliofanya kazi ya kupambana na majangili katika OPERATION TOKOMEZA. Toka ujiuzulu Mzee hawatuoni kabisa kama nasi ni watu tunaostahili pongezi kwa kazi tuliyoifanya. Tafadhali chondechonde rudi uwalipe MAKAMANDA
  12. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usafi kwa wanaume: Namna nzuri ya kutunza uume

    Umeongelea sana kuhusu migegedo ya wasiotahiriwa kwa hyo hili somo ni la kwao. Sisi tuliotahiriwa ulete somo cku nyingine.
  13. P

    JamiiForums Tanzania Namba zinakataa: Hitler alipata wapi wayahudi milioni sita?

    Appreciated all your correspondence. u historians come up ur conclusion which make sense to all of us in this building
  14. P

    JamiiForums Tanzania Wamasai wanted Morogoro mjini

    Hao mabodaboda waje kwetu arusha watakiona chamtema kuni
  15. P

    JamiiForums Tanzania Wamasai wanted Morogoro mjini

    Hiyo ndo Amani Tz?
Back
Top Bottom