Mwongozo utumishi nisaidieni sielewi

mamabaraka

Member
Oct 18, 2011
92
14
Wadau naombeni mwongozo. inachukua mchakato gani kwa mwajiliwa mpya kuanza kupata mshahara. mfano mtu aliyeajiliwa tangu february 2015 na utumishi mpaka leo april 26 2015 hajapata mshahara wala hiyo check namba inakuwaje? asanteni
 
Mara nyingine unakuwa uzembe Wa HRO wa eneo husika hasa katika hizi halmashauri. HRO akiwa active endapo utajaza mikataba na documents zote kipindi unapoajiriwa na kufungua account mapema basi utaanza kupata mshahara mwezi huo huo.
 
inackitisha, kwa hyo mtumishi anaishije mwaka mzima bila kupata mshahara?? nenda kashtaki la sivyo watajiuliza unapata wapi matumizi ya kujikimu muda wote huo
 
Hapo ni uzembe wa hro wako,, mm ni hro kuna mtindo wa halmashuri kuwaambia watumishi warudi nyumbani mpk watakapoingizwa kwenye payroll, ukisha jaza fomu za ajira kilichobaki ni kwa hro kukuingiza kwenye system ambayo haichukui hata nusu saa
 
Back
Top Bottom