twatwatwa
JF-Expert Member
- Sep 19, 2011
- 2,067
- 419
Kufuatia kitendo cha wamasai kumuua kwa kumkata mapanga kijana mmoja wa bodaboda huko katika mashamba ya Mgongola Mvomelo.
Sasa sakata hilo limeamia mjini kila masai anaetia mguu mjini cha moto amekipa vijana wa bodaboda wemejioganaizi popote anapooneka mmasai wanamfanyia ambushi kubwa, jana nilishuhudia wamasai wawili wakila kichapo cha mbwa mwizi mpaka kupelekea kuvunjwa miguu na mwingine kukimbilia katika gesti ya Masinga ambako alikuja kuokolewa na SMG za police.
Eneo lote la Morogoro mjini huwezi kuta mmasai hata mmoja toka jana labda aje amevaa suti na kapelo. Imefikia hata wakijificha kwenye magari ya abiria hushushwa na kupewa kichapo.
Hawa wamasai walipiga na kuua wakulima majuzi huko Mvomero hivyo bodaboda wanalipiza kifo cha mwenzao aliyecharangwa mapanga.
Sasa sakata hilo limeamia mjini kila masai anaetia mguu mjini cha moto amekipa vijana wa bodaboda wemejioganaizi popote anapooneka mmasai wanamfanyia ambushi kubwa, jana nilishuhudia wamasai wawili wakila kichapo cha mbwa mwizi mpaka kupelekea kuvunjwa miguu na mwingine kukimbilia katika gesti ya Masinga ambako alikuja kuokolewa na SMG za police.
Eneo lote la Morogoro mjini huwezi kuta mmasai hata mmoja toka jana labda aje amevaa suti na kapelo. Imefikia hata wakijificha kwenye magari ya abiria hushushwa na kupewa kichapo.
Hawa wamasai walipiga na kuua wakulima majuzi huko Mvomero hivyo bodaboda wanalipiza kifo cha mwenzao aliyecharangwa mapanga.