Anayenunua hisa za Tanzania namhurumia sana. Pengine awe na mtaji mkubwa awe miongoni mwa "prefferential" shareholder, lakini kuwa "minority shareholder" ni upuuzi wa mchana.
Pamoja na urithi lakini ulaji wa mafuta ya samaki unasaidia sana katika kufanya network ya ubongo wa mtoto awapo tumboni. Kuna food supplement waweza kumpa mkeo akawa ni sawa na mtu anayekula samaki bora Kabisa.
Mafuta ya samaki yana kitu kinaitwa Omega 3 ambayo husaidia sana ubongo kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.