Babafetty
Senior Member
- Nov 11, 2013
- 107
- 107
Cjazijua, thus y nkauliza.asa kama unajua wahindi wana njia zao,kumfanya mtoto awe na akili,kwa nini usizikopi?
Cjazijua, thus y nkauliza.asa kama unajua wahindi wana njia zao,kumfanya mtoto awe na akili,kwa nini usizikopi?
Mama anatakiwa kula vichwa vya samaki kwa wingi sana.Cjazijua, thus y nkauliza.
Cjazijua, thus y nkauliza.
Pamoja na urithi lakini ulaji wa mafuta ya samaki unasaidia sana katika kufanya network ya ubongo wa mtoto awapo tumboni. Kuna food supplement waweza kumpa mkeo akawa ni sawa na mtu anayekula samaki bora Kabisa.
Mafuta ya samaki yana kitu kinaitwa Omega 3 ambayo husaidia sana ubongo kufanya kazi vizuri.
Nimependa huo msemo wa mbwa ni mbwa hata aende UK bado atakuwa mbwa tuKama wewe huna akili usitegemee mtoto mwenye akili
Maana mbwa ni mbwa hata akiwa china
Haooowahindiii wakusaidie Mpwaa hukubaniani wachachesanaHabari,
mke wangu ni mjamzito wa miezi mitatu sasa, naomba kujua jinsi ya kumfanya azae mtoto mwenye akili sana, kwan najua wahindi wana utamaduni wao wanafanyaga kuongeza uwezo wa akili ya mtoto kuanzia ktk hatua za ujauzito,
Ni nini kinatakiwa kufanywa katika hatua gan,
Naomba kujulishwa,
Naomba waliokuwa wastarabu zaidi wajibu, wale wanadhihaki wanyamaze tafadhali.
Hawa jamaa wanatabia ya kula pili pili sana aisee nahisi na hiyo inaweza ikawa njia mbadala ya kuongeza akili aiseeCjazijua, thus y nkauliza.
Tayali = tayariMimi ntakwambia mtoto akizaliwa tayali then ndo ntakwambia njia ya kumfanya awe na akili yani kuwa na ubongo wa Photogenic Brain au photographic memory