Kaling'oe heri pengo kuliko jino bovu!usipende maumivu mkuu!hayana faida!Naandika huu uzi nipo katika hali ngumu, tangu hasubuh sijaweka kitu mdomoni.
Jino linauma mpaka sijielewi kabisa. Nimetoka kuliziba juzi
Lakini maumivu ninayoyapata saiv hayasimuliki.
NAOMBA YEYOTE ANAYEJUA DAWA YA KULITULIZA ANISAIDIE NIWEZE HATA KUIONA HASUBUHI
Ni swala la muda tu, hilo jino litakusumbua na utaenda kulitoaPole sana mkuu,hilo jino litakuwa limezibwa vibaya rud hospital wakalitazame coz me nishawah zibaga halikunisumbua na mpka Leo lipo pouwah
Jino lililotoboka ni bovu mkuu,unaliziba sasa lakini utakuja kuling'oa tu sasa ya nini kulichelewesha?Mkuu naamini tiba ya jino bila kingoa ipo ndo maana sitaki kungoa
Nunua karafuu utafune halafu urudi hapa utoe ushuhuda,nenda maduka ya viungo vya vyakula utaipata hiyo karafuuNaandika huu uzi nipo katika hali ngumu, tangu hasubuh sijaweka kitu mdomoni.
Jino linauma mpaka sijielewi kabisa. Nimetoka kuliziba juzi
Lakini maumivu ninayoyapata saiv hayasimuliki.
NAOMBA YEYOTE ANAYEJUA DAWA YA KULITULIZA ANISAIDIE NIWEZE HATA KUIONA HASUBUHI