Recent content by Pamba

  1. P

    Kitakachomuokoa Mwamunyange ni Hussein Mwinyi

    Poleni ndugu wa zetu. Huu udini sio mzuri hapo wote wameathirika wakristo,waslamu na wasio kuwa na dini. Sasa udini wa Mwinyi na Mwamunyange unatoka wapi? Acha udini wewe huna akili kabisa
  2. P

    Furaha ya CHADEMA

    Kuna ujumbe hapo chunguzeni kwa makini.
  3. P

    Paja la aunt ezekiel..

    Haya mambo mengine hayafai katika jamii
  4. P

    Dr.Slaa is the 'Man of the year 2010'

    Hakuna kitu hapa umempamba sana. Hizi sifa ni za manabii tu sio Slaa hafikii hata robo ya robo ni mtu wa kawaida tu tena ana dhambi sana kuchukua mke wa mtu ni dhambi kubwa sana. huyu ni Moto tu kwa Mungu.
  5. P

    Uteuzi wa Kadhi Mkuu kuthibitishwa na Raisi wa Serikali ya Muungano

    Serikali ilipotoa misamaha ya kodi maaskofu na wachungaji ndio wa kwanza kulalamika kwa nini? Serikali inatoteza billion ngapi kwa siku? Kumlipa mtu mmoja ndio ewe sababu. Ubarozi wa vatcan mbona unahudumiwa na serikali sisi tumekaa kimya. Mahakama itaanzishwa tu hata iwe vipi
  6. P

    Bila Kutekeleza Matakwa ya Waislamu Hakuna Katiba Mpya

    Watu wengine machizi kweli yote uchokozi. Mahakama ya kadhi ni kwa waislamu tu. Hijabu maana yake kujistiri hii kila dini inasema mbona masister wanavaa vizuri na wanavaa hijabu je wao ni waislamu. wakristu wanafunga pia. hakuna dini inayoruhusu kitimoto Haki ya kusheherekea mwaka ni muhimu...
  7. P

    Je, Viongozi wa Idara ambao ni Wachagga waachie ngazi!??

    MwanaKijiji hii ina ukweli ndani yake. Angalia TRA wamejaa wachagga kweli na wanapendeleana kweli ukienda mzaramu au msukuma na aende mchagga utaona wewe utakavyo kadiriwa kodi ni tofauti na mchagga. Hata ukikuta mwalimu mchagga atapendelea mchagga naona ndio mafunzo ya kichagga kupendeleana...
  8. P

    Fitina CHADEMA

    Zitto ndio kiongozi bora tunamuunga mkono 100% achana na hao wanaokusumbua hiki ni chama cha wananchi sio wachagga au watu wa kaskazini tu hata sisi wa kusini tuna haki na chama. Uchaguzi ujao chukua form ya uenyekiti utapata tu. Achana na hao mafisadi katika chama huyo mbowe na slaa wake.
  9. P

    Mahakama ya Kadhi pinda hakusema ukweli

    wote wmesema sawa mchakato unaendelea ili mahakama hiyo iendeshwe bila kuvunja sheria za nchi.ila itaanzishwa tu hata miaka mitano ijayo.
  10. P

    Mke wa mtu mtamu bwana

    Huu ndio ujinga je wewe ukiliwa inakuwaje? acha upuuzi.
  11. P

    Chadema na uchaga

    Chadema ni Chama cha wachagga hakuna kupinga.
  12. P

    Vyombo vya habari Tanzania na hatma yetu

    Ukweli unauma sana
  13. P

    Zitto ahusishwa na Rostam Aziz - Mwana Halisi

    Upuuzi huu hauna maana yoyote
  14. P

    John Shibuda: Mbowe ni dikteta

    Tatizo wana chadema ukweli hamtaki. Huu ndio ukweli Mbowe ni fisadi wa uongozi na Slaa wake. Ukabira umejaa humo chadema.
  15. P

    Vyakula vinavyoongeza hamu ya tendo la ndoa

    Saga tende na maziwa iwe kama juice kunywa kwa siku saba
Back
Top Bottom