Arguments zako ziko very weak Coca Cola, ina maana CCM walivyokuwa wanapinga mtu asimchallenge Kikwete ina maana wote ni wakwere? au Lipumba anapogombea kila uchaguzi, CUF ni ya wanyamwezi? Haijalishi nani anaongoza, tunajali results, kwa mfano;kama Mchaga atatuletea Katiba mpya watakaofaidika ni watanzania wote, regardless of their ethinicity.
We acha kukariri katiba mpya ndio itatukomboa? Uganda wana katiba mpya,Kenya wana katiba mpya,zimewakomboa kivipi? Mbona bado ni maskini tu tena kuliko hata sisi?