gubegubekubwa
JF-Expert Member
- Jun 9, 2008
- 637
- 815
Wana JF mhe Pinda alionekana kuwahakikishia watz kuwa mahakama ya kadhi itaundwa chini ya system za dini ya kiisilam,laki makamu wa Rais Dr Bilal aliwahakikishia waisiilamu kuwa kiliochao kitaisha hivi karibuni na watafurahia matunda ya mahakama hiyo.Sasa mbona hawa viongozi wa juu wa serikali wanapishana kauli?.mwenye taarifa kamili atoe.