Recent content by Opobo Jaja

  1. O

    JamiiForums Tanzania Katika Amri 10 za Mungu Watanzania wamekazana na Usizini lakinI SABATO haiwahusu wacha Mungu

    Hivi kama juma 'MOSI' ni siku ya saba ilikuaje ikawa 'MOSI'?
  2. O

    JamiiForums Tanzania Urafiki wa Jinsia Tofauti

    Yaah upo ila kunakua kuna mambo tunajitahidi sana kuyazingatia ili usije urafiki ukapotea au ikapelekea kuukosea urafiki huo. Ila hua inahitaji nguvu kubwa kiasi kwa sisi marijali.
  3. O

    JamiiForums Tanzania Kwanini Sheria au makatazo nchini tanzania yanauzito kwa mwezi mmoja?

    Hivi umekosa mfano mwingine mpaka uwaongelee bodaboda.!!?
  4. O

    JamiiForums Tanzania Nadhani kuna kitu tumefichwa kuhusu mwenge

    Huyo anaweza kusema viko ndani ya mwenge😄
  5. O

    JamiiForums Tanzania EWURA yashusha Bei za Mafuta : Petroli Imeshuka Tsh 92, Dizeli Tsh 204 na Mafuta ya Taa Tsh 440

    Kabisa mkuu maana wakishusha hata senti nakwambia watapiga domo balaa akati kupanda yanapanda hadi elfu kwa mara moja ila kushuka dah..!!
  6. O

    JamiiForums Tanzania Hapo mtaani kwako wangapi mnatumia JF?

    Haa kumbe
  7. O

    JamiiForums Tanzania Hapo mtaani kwako wangapi mnatumia JF?

    Alo hata sijui me najuaga watumiahi wote wa JF wako Dar. 😄😄
  8. O

    JamiiForums Tanzania Confession: Juu ya kulala na wake za watu

    Kuna wengine hawaumii wakijua wake zao wanaliwa ila kuna wengine mjomba tutakusahau kua makini..!
  9. O

    JamiiForums Tanzania Usimruhusu mkeo apost insta picha zake wala aende Gym

    Ila kweli aise
  10. O

    JamiiForums Tanzania Biashara ambazo huwezi toboa kamwe!

    Na kuuza laini je?
  11. O

    JamiiForums Tanzania Mnafiki ishi nae kinafiki

    Ishu ipo kugundua huu ni unafiki na huu ni wema halisi..!!
  12. O

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tume ya Uchunguzi ya Matukio ya Oktoba 29 yawasilisha ripoti leo Aprili 23, 2026

    Nina imani hii tume haina majibu ya kweli maana so kwa kujihami huku... mtaani polisi kila kona
  13. O

    JamiiForums Tanzania Ni kipi unachomkumbukia ex wako?

    Dah alikua ananipikia chapati tamu sana mbwa yule
  14. O

    JamiiForums Tanzania Ipime afya ya akili yako hapa

    Hapo baasi
Back
Top Bottom