Recent content by Opobo Jaja

  1. O

    JamiiForums Tanzania Uliwezaje au una deal vipi na mchumba au mwanamke anayeamini katika dawa za kienyeji kama ulinzi (kinga dhidi ya wachawi)

    Ongea nae tena usichoke maana inawezekana sio mwingi wa habari ila mambo ya imani tu.. Alaf kwani ni mtu wako kama ulivyoeleza au ni mke halali?
  2. O

    JamiiForums Tanzania Kila unapoangalia hii picha unaweza kujiuliza swali moja kwa zaidi ya dakika 10, "Nyerere alifikiria nini"

    Pengine wanatudanganya maana waliounganisha wote hawapo, ko hizi ni akili za matapeli wa leo..
  3. O

    JamiiForums Tanzania Hakikisha Unaoa bikra

    Ambao bado hawajaoa na kuolewa na inawezekana baadae wakawa wanandoa.
  4. O

    JamiiForums Tanzania Hekima huanza pale Ego inapoishia

    Tujifunze kupuuzia baadhi ya mambo.
  5. O

    JamiiForums Tanzania Madee: Niliweka nyumba bondi kwa Tamasha la miaka 30 ya Bongo Fleva

    Dah kaongea utumbo wa kiwango kikubwa sana huyu boya...
  6. O

    JamiiForums Tanzania Hivi ulishawahi kupenda mtu, mpaka ukimwona unamwogopa!

    Dah we jamaa em acha banah
  7. O

    JamiiForums Tanzania Kijana, talaka ukiwa na Umri zaidi ya miaka 40 ni kukosa maturity

    Dah mwanangu hii kweli lazima muachane ila sio hizo zingine
  8. O

    JamiiForums Tanzania Kijana, talaka ukiwa na Umri zaidi ya miaka 40 ni kukosa maturity

    Yote uliyoyaongea yana njia mbadala.kuyakwepa hata bila kuachana mkuu..!!
  9. O

    JamiiForums Tanzania Kijana, talaka ukiwa na Umri zaidi ya miaka 40 ni kukosa maturity

    Haifai katika umri wowote
  10. O

    JamiiForums Tanzania Napambana na uraibu wa kutamani wanawake

    Kuna pointi hapa japo bado sijafunguka vizuri "dada za washikaji" hapo imekaaje?
  11. O

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano wa kijana wa mjini asiye na pesa katika zama hizi kumiliki mwanamke mzuri

    Labda akubarikie mara kadhaa kama nae ni mshamba au amekuelewa ila ukisha shindwa kutimiza mahitaji yake kifedha mara kadhaa ataanza kukukwepa.
  12. O

    JamiiForums Tanzania Kauli ya tafuta hela, inapotosha vijana.

    Nazani maneno hayo mawili ya "tafuta hela" ni maneno ambayo tumezoea kuambiana tukiwa kazini ko tutafute hela wakuu. Ila makosa ni kumwambia asie na kazi eti tafuta hela.
  13. O

    JamiiForums Tanzania Mnaokaa nyumba za kupanga (shared) fahamu hili

    Hapana me sio wa dar me nimejiunga humu nikajua wote ni wa dar nilipouliza wakasema hapana na wa mikoani wapo, ila leo tena nakutana na hii kua kumbe wote ni wa daslam
  14. O

    JamiiForums Tanzania Mnaokaa nyumba za kupanga (shared) fahamu hili

    Kumbe kweli humu JF wote mnaishi dar
Back
Top Bottom