Nazani maneno hayo mawili ya "tafuta hela" ni maneno ambayo tumezoea kuambiana tukiwa kazini ko tutafute hela wakuu. Ila makosa ni kumwambia asie na kazi eti tafuta hela.
Hapana me sio wa dar me nimejiunga humu nikajua wote ni wa dar nilipouliza wakasema hapana na wa mikoani wapo, ila leo tena nakutana na hii kua kumbe wote ni wa daslam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.