Recent content by Opobo Jaja

  1. O

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tume ya Uchunguzi ya Matukio ya Oktoba 29 yawasilisha ripoti leo Aprili 23, 2026

    Nina imani hii tume haina majibu ya kweli maana so kwa kujihami huku... mtaani polisi kila kona
  2. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni kipi unachomkumbukia ex wako?

    Dah alikua ananipikia chapati tamu sana mbwa yule
  3. O

    JamiiForums Tanzania Ipime afya ya akili yako hapa

    Hapo baasi
  4. O

    JamiiForums Tanzania Ipime afya ya akili yako hapa

    Dah mwanangu nimeanza kucheka mwenyewe sijui majibu kwa daktari yatakuaje...
  5. O

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

    Sema dah ni kinanda
  6. O

    JamiiForums Tanzania Sababu zinazofanya watumishi wahame kutoka kituo kimoja kwenda kingine

    Taasisi nyingi zinamifumo ya namna hii me hua nashangaa kelele zote hizi hua hawaoni au ni nini?
  7. O

    JamiiForums Tanzania Bado nguo ikifumuka unairekebisha mwenyewe kwa sindano ya mkono au sio vitu vyako mafundi wapo?

    Boxer zangu na bukta hua nashona kwa mkono wangu mwenyewe zikifumuka, ila kuna baadhi ya nguo dogo ni fundi cherahani ananisaidia kuzishona
  8. O

    JamiiForums Tanzania Wakiristo wengi hawawajui vizuri waislamu wa kweli katika vita

    Ko watu wakiisilamu wanafurahia kuuawa vitani..!!.?
  9. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kitu gani kinamsisimua mwanamke

    Ni kweli kwa maana mspenzi ni hisia, hisia tamu huanza kabla ya kufurahia mgusano.
  10. O

    JamiiForums Tanzania Wakili Maduhu: Ukimpiga picha na kumpost mwanao 'status' unafanya kosa

    Fafanua zaidi kifungu gani na ni kivipi linakua kosa kisheria..
  11. O

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi DUWASA(Dodoma): Kama umechimba kisima tumia na familia yako usiwape wengine, haturuhusu wenye visima kusambaza maji kwa wananchi

    Dah kaongea kwa jeuri sana kiasi unaeza sema kijijini kwake alipotoka upatikanaji wa maji ni 100%
  12. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nakuja kwako, ila hatufanyi kitu 🤭

    Gudu bai
  13. O

    JamiiForums Tanzania Watu hawa maarufu walioacha chuo (dropouts), tayari walikuwa na ujuzi, mafanikio na connections nzito, sio kama mnavyodanganyana vijiweni

    Hapo umesgindwa kupanfa goja tunashindwa kujuelewa ulilenga nini, umetaja kitengo tena nyeti halafu umefananisha na serikali nzima kumiliki hii mitandao.
  14. O

    JamiiForums Tanzania Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

    Na sijui alikua anaamaanisha nini kusema Irani kammaliza Mmarekani
Back
Top Bottom