Ni kipi unachomkumbukia ex wako?

Ni kipi unachomkumbukia ex wako?

Nakumbuka kile kipindi nipo na A,sex was so pure.

The way anaongea na mimi nilikuwa naiona future,nikadhani pengine angekuwa wa maisha lakini Muda ulibadilika.

Taswira ikabadili,kasoro zikaanza kuonekana,kila mtu akawa ni kama anamhitaji mwenzake lakini hakuna connection kama zamani.

Nikajaribu kuwa cool,kusubiri muda useme it's was too late sana,kaolewa na ana maisha yake na familia yake.

Nilimkataza kunitafuta bila sababu maalum,alikuwa mtu poa lakini mwenye hasira na wivu wa viwango vya juu sana.
 
Hii couple ilikuwa nzuri sana
Hahahaha
1d1380ed-05f7-489e-8024-521d38af26b5.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom