Hapo mtaani kwako wangapi mnatumia JF?

Hapo mtaani kwako wangapi mnatumia JF?

Labda kama wewe ni jukwaa la mapishi na urembo huko
Ukiwa JF ni uko kama kwenye kikundi cha kijasusi
Hutakiwi mtu ajue unatumia, na wala hutakiwi kujitangaza unatumia au ID yako
Ndio maana mnabebwa kirahisi sana mitaani na wasiojulikana.
 
Back
Top Bottom