Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 15,054
- 33,745
Wakukute wadau me sipo 😃eFootball ni backup tu shemeji 😂
Wakukute wadau me sipo 😃eFootball ni backup tu shemeji 😂
Peke yangu, kama Kuna mwingine sijui. Hapana, sijawahi kimshawishi yeyote. Kwanini unauliza?!!!Habarini wakuu:
vp hapo kwenu ni wangapi mnaotumia mtandao wa JF, au ndo wewe peke yako.? Ushawahi kushawishi mtu ajiunge JF?
Kila mtu ni mhuni tu. 😄😄Jinsia yako
Khalas 😂🙌Wakukute wadau me sipo 😃
Me too, kwanza eti alikuwa haijui kabisaWengi tu.
Niliwahi mshawishi mtu aingie JF, baada ya week akasema hawezani nayo.
Yeye kazoea IG na Tiktok.
Yeah!!
Ajabu sana.Me too, kwanza eti alikuwa haijui kabisa
Haa kumbeJF Wanatumia hadi wa Songea vijijini, kutoka muhukuru huko.
😂😂😂
Kifupi hata hamna anae ijuaHabarini wakuu:
vp hapo kwenu ni wangapi mnaotumia mtandao wa JF, au ndo wewe peke yako.? Ushawahi kushawishi mtu ajiunge JF?
😂😂Nitajuaje arifu
Ndo hivyo.Haa kumbe
Mpaka kule Namabengo ndanindani 😁JF Wanatumia hadi wa Songea vijijini, kutoka muhukuru huko.
😂😂😂
Hadi Ngwinde na Litola. 😂😂😂Mpaka kule Namabengo ndanindani 😁
Leo nimejua upande wako wa pili(Mistari)😀😀Efootball ipo tuu😃
una nusu ya moyo wangu na nusu iliyobaki inakupenda wewe💥
Mimi pia niliwahi Fanya hivo.Sijui kwanini mtu anaemia haiwezi.Wengi tu.
Niliwahi mshawishi mtu aingie JF, baada ya week akasema hawezani nayo.
Yeye kazoea IG na Tiktok.