Wote mko sawa lakini Millard ayo atafungua radio yake inawezekana mda wake bado, pia wengine anapata pesa mahali nyingi tu bado Anakaa pale pale Labda kaweka mda wake pale au mkataba wake bado Kama tu harmonize asante
Wahuni Sio watu wazuri, ila kitu kimoja Hakuna aliyekamilika hata Kama ni Nan? Ila hata yesu alipigwa balaa acha kabsa Gaddafi mtu makini Sana wa mwananchi wake lakini watu nzi walikuwemo tu asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.