Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,413
- 15,911
Kutoka kwenye wimbo unaoitwa KAINAMA Diamond platnumz anaimba:-
"Salam ziende kwa WANJERA,
Doni maisha kitasa kwenye Bunyeru"
wakuu nimewaza sana wanjera ni nani na "Doni maisha kitasa kwenye bunyeru" ndio nini? anaejua ufafanuzi tafadhari.
"Salam ziende kwa WANJERA,
Doni maisha kitasa kwenye Bunyeru"
wakuu nimewaza sana wanjera ni nani na "Doni maisha kitasa kwenye bunyeru" ndio nini? anaejua ufafanuzi tafadhari.
Wala sio wanjera Ni "Wanjara, alimaanisha Rashida Wanjara.
Sio Bunyera Ni Bunyero, Rashida Wanjara Ana show zake za kibao kata anaziita Bunyero Bunyero..ndio maana mbeleni anasema anataka msambwanda kwa buku jero! Utajiliza Rashida Wanjara Ni nani, Kam Google!