Mama Simu yake ilidukuliwa?Hapana Sio kiki hii Ilikuwa tarehe 22/07/2019 Usiku wa saa 23:22pm baada ya mama Baraka kupiga simu kwa kaka yake Baraka kumpa Taarifa.
HapanaMama Simu yake ilidukuliwa?
Kama ni mdau wao PoleAkili mandazi hizi.
Daaa nasikiliza "bora iwe" hapa...aiseee jamaa anajua sana asife kwanza bado tunamdai
hhahahaAnzeni kuandaa kaburi kabisa ili kupunguza kazi za mazishi
Mvumilie23:22pm ndo nini hii mkuu?
Ndio mwenye wimbo kama dj khaleedIle ngoma kali sana japo sikuelewa alichokuwa anafanya ROMMY JOHNES mle
Huyo msukuma haji kutoa single kama Siachani nawe!!..
ukishamjua?..Nani kakwambia msukuma huyo
Habari wana jamii JF, Taarifa zilizonifikia toka juzi kuwa Baraka yuko hoi hajitambui(ICU) inchini Kenya baada ya kumeza kete za madawa. Safari yake Ilikuwa kutoka Kenya kwenda South Africa, alijisahau akaanza kunywa bia ndipo Hali ikabadilika Sana, Kumbe hata kuachana na mpenzi wake kisa madawa na kutoka Rock star sababu alijiingiza Kwenye madawa walimkataza lakini kijana wapi haelewi Kabisa mpaka alitaka kuuza nyumba yake iliyoko jijini mwanza maeneo ya nyamongolo. Unajua wanamziki wanahalibiwa na jamaa hawa wa clouds na jamani pesa tutafute kihalali asante. #
Lete iyo clip ya maongezi TuiskilizeHapana Sio kiki hii Ilikuwa tarehe 22/07/2019 Usiku wa saa 23:22pm baada ya mama Baraka kupiga simu kwa kaka yake Baraka kumpa Taarifa.
labda juu ya kaburi utanipenda mm nikiwa sina uhaiHuyo msukuma haji kutoa single kama Siachani nawe!!..
Haipo hiyo Mkuu,labda alimaanisha 2322hrs.23:22pm ndo nini hii mkuu?
Hata hiyo ilibidi aandike 1122hrsItakuwa amejichanganya nadhani alitaka kuandika 11.22pm...